kama nilivyo eleza apo juu nataka kujua mtaji wa kufuga fish kwenye mabwawa na zinakaa mda gani kabla kuanza kuuza kukamata mshiko na njinsi ya kuwa fuga ata ndondo za maisha yao
fish wa kufugwa zina dumu mda gani kabla ya kuanza kupata faida na pia gharama ya kuanza kufuga fish unatakiwa uwe na mtaji wa sh ngapi ukikodisha shamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.