Recent content by M.A

  1. M

    Love's diary

    Ndipo siku moja baba alipokuja na kuniambia kwamba, angeona raha kama ningemuoa bint wa rafiki yake. Nilishangazwa sana na mm nikawa nimemuuliza msichana mwenyewe. Aliniambia kwao na huyo msichana na msichana mwenyewe. Nilimdadisi baba kuwa yeye alilitoa wapi wazo la mm kumuoa binti yule? Ndipo...
  2. M

    Love's diary

    CHAPTER 2 UK1..... Michael ndipo alipoamua kumuahadithia yaliyomkuta mpaka yeye kuwa katika jiji lile na kutotambua kwao tena. Hadithi aliyomsimulia ni hii.... Michael ni mtoto pekee wa mzee Andral Syndrome na bi. Sarah michael. Mzee huyu alifahamika maeneo mengi ya jiji kwa kuwa na uhusiano wa...
  3. M

    Unayajua haya...

    Hatuwez kujua kama ni ubaguz baina ya mtu na mtu tunaofanya pamoja na ukatili. Hii hutokea kwa sisi masikin.. Takwimu huonyesha kuwa sisi wenye hal ya chin tunaongoza kwa kubaguana hasa kwa wasichana. Msichana mwenzao anapowahadithia kuhusu boyfriend wake, wao humwambia maneno ya kumkatisha...
  4. M

    Love's diary

    UK10.. Kuwa na furaha pia. Marry alimpeleka sehemu mbalimbali Michael za jiji pamoja na baadh ya vijiji vyake ili aone kama ataweza kutambua kwao. Lakn hakuna chochote alichoonyesha kama ni eneo analolitambua. Ndipo marry alipatwa na shauku ya kujua zaid kuwa, michael alikuwa anatokea sehemu...
  5. M

    Love's diary

    UK9... Pindi walipomkuta mahakaman ndipo walipoamua kufanya taratibu za kumdhamania. Taratibu zilipokamilika za kumdhamania, alitolewa nje. Alishangazwa sana kuwaona kama waliomdhamania ni wale ambao aliokuwa anaishi kwao. Moyo wake ulisita kabisa kurud kule kwa kuogopa kuteswa tena. Lakin...
  6. M

    Love's diary

    Tatizo umezoea maigizo ya bongo, scene za mwanzo tu umeshajua maudhui yote... kama umesoma vitabu sekondar utakuwa na uelewa wa kujua mafunzo mpaka mwisho wa stori.
  7. M

    Love's diary

    Tatizo umezoea maigizo ya bongo, scene za mwanzo tu unajua unajua maudhui yote... kama umesoma vitabu sekondar utakuwa na uelewa wa kujua mafunzo mpaka mwisho wa stori.
  8. M

    Love's diary

    Kuna maneno yameandikwa page 1 and 2. Kwa hiyo kama upo page 1 zingine page 2 na kama upo page 2 zingine page 1.
  9. M

    Love's diary

    Paragraph kumi ndio chapter, maana haya ni maneno ya simu siyo kompyuta. na zipo chapter 3. msishangai kwamba jina na kilichoandikwa ni tofaut? lahasha kwan ndio inaelekea kwenye love & life's diary.
  10. M

    Love's diary

    UK8... Sku kadhaa zikapita. Siku moja katika pita pita yake ya mjin michael ndipo akakutana na polis wakiwa wanawakamata vijana wanaotembea ovyo mjin. Msako huo ulifanywa hasa baada ya usiku wa jana yake majambaz kupora mal katka baadh ya maduka mjin. Michael alshikwa na kupelekwa rumande kwa...
  11. M

    Love's diary

    UK7... Walipoondoka tu ndipo akaona na yeye kuwa amepata njia ya kuondoka. Alifanya hivyo kwa kuona ananyanyaswa na mwanaume mwenzake kisa kukaa pale, aliona ni bora wangemnyasa waliompeleka pale kuliko mtu anaeshi kwa girlfriend wake. Hivyo aliamua kwenda ovyo jijin ambako alikuwa hapajui hata...
  12. M

    Love's diary

    UK6.... Walimuliza ni kp kilichomkuta mpaka kikamsababishia yeye kutokwa na machozi? Michael hakujibu chochote, bali aliendelea kuwaza. Hofu yao ilikuwa kwamba, endapo watamuacha aendelee kuwaza basi anaweza kuchanganyikiwa na kuwa kichaa. Walimchukua na kumpeleka ndan. Michael aliketi kwenye...
  13. M

    Love's diary

    INATOKA UK4, UK5... Na Marry kumbembeleza kote huko Michael ili amwambie ni yapi yanamsibu, lakn michael hakuweza kumwambia chochote kile. Siku zilivyoendelea ndipo erasto alianza kumnyanyasa michael pind agness na marry wanapokuwa hawapo. Alimfanyisha kaz ambazo hakuweza kuzifanya vizuri...
  14. M

    Love's diary

    INATOKA UK3, UK4.... Ni mwanaume ambae amechukuliwa na girlfriend wake kumlipizia ubaya aliyowahi kumfanyia. Erasto aliingia ndan huku akiwa amekasirika sana kutokana na kumkuta michael nje akiwa ni mtu aliyekuwa amejishika shavu kwa mawazo. Erasto aliwakuta agness na marry wakiwa sebulen...
  15. M

    Love's diary

    INATOKA UK2, UK3.... Wakamchukua na kumpeleka nyumban kwa niaba ya kumpatia huduma mbalimbal. Agness na marry walipomfikisha mgonjwa wao nyumbani, walimkarimu vizur ili aweze kupunguza kuwaza sana. Agness alielekea kazini baada ya kumfikisha mgonjwa nyumban. Sasa yapata wik mbil akiwa pale...
Back
Top Bottom