Ah! hii nchi inapoelekea matokeo yake yalyotokea somalia yatakuwa yana nafuu.Tunaisubiri report yao baada ya kuipitia japo twajua watatoa majib hasi.Oh! poor Tz
Huu ndo ubovu wa serkal yetu kutochukulia maamuz na kuyatatua malalamiko ya wananchi yahusuyo elim matokeo yake yanakuja kutokea kama yalyotokea kwenye matokeo ya mtihan wa kidato cha nne uliofanyika 2012 na kuwapelekea kuingia gharama za upangaj upya wa matokeo,wakat gharama hzo wangeztumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.