Pole kwa kuugua mzee Sitta. Pili ninamwomba Mungu akupe Afya na maisha marefu hadi ushuhudie ukombozi wa Tanzania kwa kupata katiba ya wananchi ambayo wewe uliipinga kwa nguvu zote isiwepo.
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Hoja yako ni dhaifu wala sioni kama ipo haja ya watu wazima wenye akili pevu wana haja kuijadili. Watakaoijadili ni wale wenye akili changa.
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.