pole ndugu jaribu kukaa na mwenzako muongee ai hata utafute mshauri wa mambo ya ndoa anaweza wapa msaada zaidi maana inaonekana kuna mambo mengi sana hapo ili kuyamaliza na kukaa kwa amani lazima kuwe na mazungumzo ya kina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.