Nyumba ndogo is not a solution, kutunza nyumba yenye upendo na maelewano. Ni kweli alibembeleza ili aolewe. Lakini, miili yetu hubadilika, yale uliyoweza jana huwezi leo. Pia, majukumu ambayo mwanamke anayo. Wakati mkiwa wachumba, majukumu mazito hayakuwepo, hakuwaza ni jinsi gani apange huduma...