Jumapili iliyopita nikiwa kijiji kinaitwa Mkulu nikitoka kufuatilia mahindi ya kununua ili nisafirishe kwa wenye njaa nami nipate mahela, nikauliza na boda boda aliyenipakia, why mie sijaenda kwenye sherehe kule kijijini kwa mjombangu aliyenikuza, yaani Makunda.
Sikuwa na jibu sababu ukweli...
Kumbe jamaa aliwahi kuwa mkweli kusimamia utaratibu akatoswa mbaya. Huwa wanasema huyu jamaa sio msomi lakini kwa hilo amekuwa zaidi ya wasomi. Viva Lusinde Viva! Viva Kibajaj Viva!
Mwaka 2020 ulifanikisha kuingiza madiwani wote uliowataka na yule wa akribu yako zaidi ukamfanya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Iramba. Mbaya sana!
Pamoja na wewe bado kukubalika ninakushauri kwa dhati ya moyo wangu usitoe hela kuhakikisha hao madiwani wanarudi,. Hiyo sio timu itakayokufikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.