Recent content by Lweye

  1. L

    Hilda Newton: Wakati natoka Dodoma kuja Dar, nilipanda treni. Nilimuona Mbowe akiwa na Mwigulu Nchemba

    Kwa hiyo kosa hapa ni Mh. Mbowe na Mwigulu kuwaona wako pamoja kwenye Train ila ingekuwa kwenye Ndege fresh tu au vipi? Lakini pia SGR ni usafiri wa umma unaweza ukakata tiketi ukajikuta jirani yako ni Ex wako
  2. L

    Kutoshiriki Maaskofu wa Dayosisi zingine za KKKT Harambee ya leo inatakiwa kumpa ujumbe mkubwa sana Mtawala na Askofu Malasusa

    Iwapo utanihakikishia kuwa hao maaskofu wengine walipewa mwaliko wa kuwepo na wakagoma kuja nitakuelewa point yako vinginevyo nachukulia kama ni maoni yako tu!
  3. L

    Kutoshiriki Maaskofu wa Dayosisi zingine za KKKT Harambee ya leo inatakiwa kumpa ujumbe mkubwa sana Mtawala na Askofu Malasusa

    Una uhakika hao maaskofu wengine walialikwa??? Kumbuka pia shughuli ilikuwa ya KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani ambayo Askofu Malasusa ndio Mkuu wake. Hivyo hakuwa pale kama Mkuu wa Kanisa KKKT
  4. L

    Watanzania wenye vipato vya chini wanao somesha English Mediums wanateseka hadi nawaonea huruma

    Upo sahihi Mkuu! Inawezekana alikuwa anamaanisha hao wanaotoka Kayumba wapo wengi UDSM bila kujali wanasomea Fani gani! Lakini ukweli ni kwamba kwa zile fani ambazo zina ushindani mkubwa kuzipata na asilimia kubwa na wanaochaguliwa kusoma fani hizo wanatoka Private schools
  5. L

    Hiki Ndicho Kimenitokea Jana Kwenye SGR Baada ya Maamuzi Magumu

    Ni watu wenyewe tu wanapenda kupata hardcopy na ukienda dirishani utapewa. Lakini pia TRC hawajatoa elimu ya kutosha kwa wateja wao
  6. L

    Hiki Ndicho Kimenitokea Jana Kwenye SGR Baada ya Maamuzi Magumu

    Hakuna haja ya kupita dirishani Mkuu! Kama umedownload tiketi yenye QR code kwenye simu yako unaenda kuiscan tu pale kwenye geti la kuingilia unatinga ndani ya mchuma!
  7. L

    PreGE2025 Nape Nnauye: Nawapa pole na naomba radhi kwa kauli yangu ya ushindi nje ya boksi

    Kwa hiyo Mh. Waziri utani kwenye yote ilikuwa ni hilo tu au pamoja na ile ya kupata fedha toka kwa Makampuni ya simu yaliyo chini ya Wizara Yako???
  8. L

    Mwananchi aliyefiwa mtoto wake Muhimbili adaiwa kutakiwa kulipia Tsh. 10,695,000 ili kuikomboa maiti

    Deni tunalodaiwa ni Tsh. 8,695,000/= Ili turuhusiwe kuitoa maiti mochwari. Tumelia sana lakini wanataka tutafute 3,000,000/= kama advance kwa sasa ili watupatie mwili kwenda kuzika. Wametuambia pia tuache kadi ya NIDA ya baba wa mtoto (marehemu). Balance itakayobaki tumeambiwa tutalipa...
  9. L

    Mwananchi aliyefiwa mtoto wake Muhimbili adaiwa kutakiwa kulipia Tsh. 10,695,000 ili kuikomboa maiti

    Naheshimu maoni yako lakini naona ugumu katika utekelezaji wake. Huyu inaonekana ni rahisi kufuta deni kwa kuwa alikuwa hajalipa. Vipi kwa ambaye anakuwa kishalipa na hadaiwi chochote ikatokea bahati mbaya akafariki, na huyo unapendekeza nndugu zake warejeshewe hela waliyolipa au wampotezee? Ila...
  10. L

    Mwananchi aliyefiwa mtoto wake Muhimbili adaiwa kutakiwa kulipia Tsh. 10,695,000 ili kuikomboa maiti

    Kama makubaliano kati yake na hospital yalikuwa ni kama hivyo unavyosema, mimi ni nani nibishe wakati sikuwepo!
  11. L

    Mwananchi aliyefiwa mtoto wake Muhimbili adaiwa kutakiwa kulipia Tsh. 10,695,000 ili kuikomboa maiti

    Nadhani anachodaiwa sio gharama za 'kukomboa maiti' kama unavyodai ila ni gharama za matibabu alizopata akiwa anatibiwa. Kama unaona hastahili kudaiwa basi ata wagonjwa wanaokuwa wamelipa gharama za matibabu na ikatokea wakafariki basi nao ungependekeza wawe wanarudishiwa pesa wanazolipa...
  12. L

    Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

    Hisa za TBL gani ambazo rafiki yako anakosa mteja? Watu Juzi tu tumekula gawio la maana la TBL. Kama rafiki yako bado anatafuta mteja wa hisa zake za TBL naomba uniunganishe nae tufanye biashara.
  13. L

    Shule ya English Medium imegoma kumuhamisha mwanangu. Hatiani kukosa mtihani wa darasa la nne

    Yaani maelezo yote haya unayoelezea malalamiko kibao na bado umeshidwa ata kutaja jina la hiyo shule (English medium) ambayo wamekataa kuwahamisha wanao!!! Sasa unaomba msaada upi wakati unashiriki kumficha mtuhumiwa wako? Mie naona hii ni story kama story nyingine tu ila story hii imekosa mtu...
  14. L

    NECTA imedanganya umma kidato Cha pili matokeo ni mabaya mno

    Nadhani kabla haujasema NECTA imedanganya ungejaribu kujumlisha idadi ya hao waliofail kuona kama inafanana na idadi iliyotangazwa na NECTA au hapana. Vinginevyo na utakuwa ni mpiga kelele tu
Back
Top Bottom