Yaani wewe masikini wa kutupwa bando lenyewe la kupewa uje utukane watu mtandaoni ndo umejiona umeleta hoja hapa jukwaani? Mungu akupe ufunuo la ukapimwe afya ya akili
Mambo ya kupaka wanja nguruwe yanaendelea, wanataka wabadili jina la Police force kwenda police service halafu waje waseme tumefanya reforms kwenye jeshi la police kama walivyobadili jina la Tume ya uchaguzi na kuongeza neno huru wakasema wamefanya reforms.
Huu utawala haukuchaguliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.