Recent content by LWENYI

  1. LWENYI

    Serikali yaanzisha Tahasusi (Combination) mpya 49, sasa zitakuwa 65

    Labda kwasababu kuna islamic banking, operated under sharia laws, vinginevyo hii kwakweli haijakaa sawa.
  2. LWENYI

    Orodha mpya Mabilionea Afrika 2024

    Hawa ni waafrika kweli mna uhakika?
  3. LWENYI

    Serikali kuwabana zaidi waagizaji Magari yaliyotumika ili kulinda uzalishaji wa ndani

    Acheni uongo jamani, kuna gari inaitwa Mahindra? [emoji848]
  4. LWENYI

    Msaada kwa anayefahamu hili

    Acha upumbavu wewe, duniani hakuna kazi ya kutoa hela
  5. LWENYI

    Natafuta Kinanda cha kununua

    Habari za leo wakuu, kama kuna mtu ana kinanda na anataka kuuza naomba ani DM tuzungumze, kinanda cha kawaida tu cha kujifunzia
  6. LWENYI

    RIPOTI YA CAG:TASAF, TANROADS ZAKALIA MAMILIONI YA FEDHA ZA WANANCHI

    Wazee na kaya masikini wanataabika huko halafu kuna watu wanakalia hela zao kweli jamani huu ni ubinafsi mkubwa sana, mama nyoa hao
  7. LWENYI

    Mume wake dada hataki kunipa mtaji

    Muhudumu Naomba skonzi siwez kupiga ya mluzi [emoji41]
  8. LWENYI

    Khadija Kopa avunja ukimya anatafuta mume

    Nafasi ya kuwa baba mkwe wa mondi ndo hii
  9. LWENYI

    Sasa ni ruksa kuomba Lifti kwenye gari la Polisi.

    Yaliyomkuta zuwena yamewakuta na njagu? [emoji15][emoji15] wamebadilika sana.
Back
Top Bottom