Ile wewe sijui bro ama mzee sijui unaongea kwa kutumia kichwa gan? Cha juu ama cha chini!!
Kwahiyo watu kukosoa ni kosa au kukemea utekaji na uuaji baada ya utekaji nao
Daaah katika vitu ambavyo siwezi nikafanya unafiki ni kuhusu huu muungano wa kishenzi na kizandiki wakutaka usawa kwenye vitu ambavyo havina usawa
Kwa akili ya kawaida kabisa inakuingia akilini eti zanzibar na tanganyika ziwe kitu kimoja?
Zanzibar ana changia kiasi gani katika pato la nchi hafi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.