Mazingira ni jumla ya vitu vyote vinavyo mzunguka mwanadamu. Hii ni pamoja na miti, bahari, anga hewa. Ili binadamu na viumbe hai wengine waweze kuishi vizuri wanahitaji mazingira yaliyo safi na salama.
Mazingira safina salama ni yale yasiyo athiri afya ya mwanadamu na afya ya viumbe hai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.