Recent content by LUZGER

  1. LUZGER

    Maaskofu wa TEC wamehudhuria utiaji saini wa mikataba 3 ya DP World?

    Lini uliona mkataba mahali palipokua pameandikwa miaka 100? Hayo maneno ya miaka 100 ni yakina Mwabukusi & Slaa
  2. LUZGER

    Hongera Mwakilema kwa kupandishwa kutoka Kamishna TANAPA hadi kuwa Mkuu wa Wilaya

    Umeshindwa kuelewa kwamba hiyo pongezi ni joking? Hicho ni kinyume chake
  3. LUZGER

    Aliyetenguliwa Julai Temeke arejeshwa Septemba Mtwara

    Kwani hukumuona Chalamila?
  4. LUZGER

    CHADEMA haiji kupata tena nguvu ya ushawishi kama iliyokuwa nayo kabla ya Uchaguzi wa 2015

    Mahali Chadema imevurunda ni kukubali kula matapishi yao Kuanzia mwanzoni waligoma kuwatambua Covid 19 Lkn sasa hivi wanakubali kuchukua ruzuku Inaonyesha walivyo vigeugeu na kukosa msimamo
  5. LUZGER

    Hivi Rais Samia anatambua hali ya umeme nchini kwa sasa? Mbona kimya kama hayamhusu?

    Huwezi kuona umeme wa kutosha bila mvua kunyesha au bwawa la Nyerere mwaka kesho mwezi wa 6 Mtakua mnapiga propaganda tu! Mnashindwa kuelewa hilo?
  6. LUZGER

    Moto wa nguvu kuwaka mkoani Mbeya. Tegeni Masikio mtasikia mlio wake

    https://youtube.com/watch?v=tBQPbJYsxqo&si=5a6VgytylePVbyVM
  7. LUZGER

    Moto wa nguvu kuwaka mkoani Mbeya. Tegeni Masikio mtasikia mlio wake

    https://youtube.com/watch?v=tBQPbJYsxqo&si=5a6VgytylePVbyVM
  8. LUZGER

    Moto wa nguvu kuwaka mkoani Mbeya. Tegeni Masikio mtasikia mlio wake

    https://youtu.be/tBQPbJYsxqo?si=X5ZMjkwJJXml8xUX
  9. LUZGER

    Moto wa nguvu kuwaka mkoani Mbeya. Tegeni Masikio mtasikia mlio wake

    https://youtu.be/tBQPbJYsxqo?si=X5ZMjkwJJXml8xUX
  10. LUZGER

    Moto wa nguvu kuwaka mkoani Mbeya. Tegeni Masikio mtasikia mlio wake

    Wezi ndio hawa https://youtu.be/tBQPbJYsxqo?si=X5ZMjkwJJXml8xUX
  11. LUZGER

    Moto wa nguvu kuwaka mkoani Mbeya. Tegeni Masikio mtasikia mlio wake

    Wezi ndio hawa https://youtu.be/tBQPbJYsxqo?si=X5ZMjkwJJXml8xUX
  12. LUZGER

    Dhana ya kukaa kimya rais Samia anamaanisha ni aibu kutoa maamuzi ya mkataba wa bandari

    Utakua umepigwa mwenyewe Hapa hapigwi mtu
  13. LUZGER

    Kuuliza si Ujinga, hivi familia ya Kinana ipo Tanzania?

    Mnakosaga kazi mpaka mnataka kujua familia za watu! Kweli umbea ni gharama ! Ukijua itakusaidia nn? Si ufanye kazi zako binafsi? Nyie ndio mkizeeka mnakua wachawi.
  14. LUZGER

    Rais Samia Suluhu Hassan usikubali serikali yako ikawa Serikali ya kujibu hoja kwa vijembe

    Wacha ujinga ww Kukaa kwake kimya ni jibu tosha Angekua anajibu kila kijembe pasingekua salama! Huwa rais ni mtu wa mwisho ktk kuongea Ndio maana hata kwenye protoko majukwaani anakua wa mwisho kuongea !
Back
Top Bottom