Mahali Chadema imevurunda ni kukubali kula matapishi yao
Kuanzia mwanzoni waligoma kuwatambua Covid 19
Lkn sasa hivi wanakubali kuchukua ruzuku
Inaonyesha walivyo vigeugeu na kukosa msimamo
Mnakosaga kazi mpaka mnataka kujua familia za watu!
Kweli umbea ni gharama !
Ukijua itakusaidia nn?
Si ufanye kazi zako binafsi?
Nyie ndio mkizeeka mnakua wachawi.
Wacha ujinga ww
Kukaa kwake kimya ni jibu tosha
Angekua anajibu kila kijembe pasingekua salama!
Huwa rais ni mtu wa mwisho ktk kuongea
Ndio maana hata kwenye protoko majukwaani anakua wa mwisho kuongea !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.