Unapenda vurugu eti?. Kwa hiyo unashawishi watu waandamane kisha useme mengine. Acha utumwa wa mawazo..!Waambie polisi walinde maandamano utajua watu wapo au hawapo. Ccm waoga sana.
Amani inavurugwa na CCM usitudanganye wananchi wanajua ni Lugha tu mnayotumia kila siku kila mkikosolewa mnadai amani inavurugwa mnataka muendeleze kutupiga pesa na miili yetu MUNGU ANAWAONA NA IPO SIKU ATAJIBU
Kwani kila mtu lazima ajibiwe? Tuwe tunaangalia hoja zenye akili za kujibu. Zenye kutanua ufahamu na kujenga taifa imara na penye Amani siyo hz pumba. Aliyeandika naamini anajitambua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.