Recent content by lushu lwape

  1. L

    Si sahihi kutumia makosa ya Magufuli kuhalalisha ya Kikwete

    Ingekuwa yako ungekuwa Ikulu.
  2. L

    Rais Magufuli kwa hali hii, Lowassa 2020 ataingia ikulu kwa mikono safi

    Ndoto za Alinacha. Mtaishia kunawa nyie ni Magufuri mpaka 2025
  3. L

    Tumewajua mapema: Miezi 6 uwanja Chato, miaka 24 uwanja Butiama no!

    Sasa mkijua ? Aliyejenga hospital ya wilaya kijijini kwake usangi badala ya Mwanga mjini mmemsahau ? Acha unyumbu, unataka raisi asafirie punda kama wenyeji wa longido au sanya ?
  4. L

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Walikataa kuhudhuria cku ya kuapishwa kwake. Leo ndoo wanatambua kwamba ndiye Rais ? Nani aliyewadanganya kwamba uraisi wake NI wa UBIA na UKAWA ? HAPA KAZI TU.
  5. L

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Wapinzani wake ? Uchaguzi umekwisha Rais aache majukumu yake eti akutane na watu walioshindwa katika Sanduku la kura na wanaotetea mafisadi. Hivi mnafikiri awamu hii ni ya kuchezea ? Hakuna muda wa kupoteza hapa kazi tu.
  6. L

    DAR: Polisi walizuia Kongamano la chama cha ACT Wazalendo, Millenium Tower

    Waende bungeni wakakosoe. Hatutaki siasa za matukio vinginevyo andamaneni mkione cha moto.
  7. L

    DAR: Polisi walizuia Kongamano la chama cha ACT Wazalendo, Millenium Tower

    Ninyi UKAWA c mlikataa kumtambua ? Mtanyooka tu. Hakuna muda wa kupoteza . HAPA KAZI TU.
  8. L

    UKAWA, tuelezeni hii demokrasia mnayoitetea ni ipi?

    Eti walianzia kahama. Fyuuuuuuuu kanda ya Ziwa tulishakataa unyumbu. Pelekeni unyumbu wenub huko huko longido
  9. L

    Wabakaji wa demokrasia wanataka demokrasia, hivi wabunge wa upinzani wanaelewa maana ya demokrasia?

    Kwani wananchi hatujui kwa nini sukari imeadimika mpaka tuambiwe na manyumbu ? Hamna lolote mnaishi kwa matukio hata mnachosimamia hakijulikani. Chadema hovyo kabisa.
  10. L

    Zitto kuichambua bajeti ya 2016/17 kesho Millenium Towers

    Anachambua ili iweje. Achambue. kwanza umaskini wa mkoa wake wa kigoma
  11. L

    Tumewajua mapema: Miezi 6 uwanja Chato, miaka 24 uwanja Butiama no!

    Usilinganishe mwanza na moshi. Mwanza ni habari nyingine. Kanywe mbege na meno yako yenye kutu
  12. L

    Tumewajua mapema: Miezi 6 uwanja Chato, miaka 24 uwanja Butiama no!

    Acha unyumbu . Mikoa gani ime endelea kuliko mingine hapa tz ? Kule kuishi Migombani kwenye umande uliokithiri na udongo wa mfinyanzi kama nyani ndoo maendeleo ? We vipi Mtaishia kufanya matambiko huko Migombani wakati Xmas kisha kuondoka na kwenda mahali panapofaa.
  13. L

    Tumewajua mapema: Miezi 6 uwanja Chato, miaka 24 uwanja Butiama no!

    Ulitaka ukajengwe longido ? Lazima ujengwe Chato maana huko ni nyumbani kwa mkuu wa nchi.
Back
Top Bottom