Maduhuli ni bidhaa na huduma zinazoingizwa nchini Tanzania kutoka nje ya nchi. Taratibu za maduhuli zinapaswa kufuatwa ili kukomboa bidhaa kutoka Forodhani/customs kulingana na Sheria ya Usimamizi wa Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya mwaka 2004. Maduhuli kuja Tanzania yanapitia hatua...
Kiongozi hakuna gari mbaya hilo lieleweke ila tatizo ni mazingira yako yakoje? ila Harrier kwa upande wa matatizo ya kiufundi azisumbui kwakweri ni gari nzuri pia ni gari ambayo aijawahi kupoteza thamani tangu itoke
Kumiliki gari ni kitu ambacho vijana wengi wanatamani kutokana na adha ya usafiri hasa jijini Dar es salamm ambako kuna usafiri mgumu wa kutumia daladala hivyo vijana wengi wakipata kazi inayowalipa mshahara mnono cha kwanza hufikiria kununua gari.
Hivyo wakati unafikiria kununua gari fikiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.