Recent content by LUPPO G

  1. L

    Wanasheria wa CHADEMA hamuwezi kuipinga amri ya Polisi mahakamani?

    Kwa hilo polisi nawapongeza maana hakuna kilichokuwa kinafanyika siku ile bhana ni kweli huduma zilisimama pale posta migration mpaka maandamano yalipo ondoka kuelekea kinondoni , haikuwa sawa kabisa una hapo chini hali ilivyokuwa
  2. L

    Kutokuwa na imani na vyombo vya usalama hakuna faida kwetu

    Upo sahihi kati 2, hayo makundi ni hatari sana hawafai sijui hiyo dini gani inayoamulisha kutesa na kuua watu? dini ni amani na si kama wanavyofanya hao.
  3. L

    Amboni Tanga: Askari Polisi, JWTZ wapambana na majambazi wenye silaha nzito za moto

    Kamishina wa oparesheni wa polisi chagonja kutoa taarifa ili kuondoa upotoshaji wa taarifa kwa kile kinachofanyika huko tanga, anasema watu wanaongea tu wakati wao ndio wapo eneo la tukio hivyo atatoa facts zote za tukio hilo
  4. L

    Amani na usalama kwa watanzania

    Vurugu na fujo katika kudai haki havina tija katika suala zima la usalama wa watanzania. ni jukumu letu sote kuliombea taifa letu ili liendelee kudumisha amani na usalama wetu.
  5. L

    Wananchi tusikubali kuwatetea wahalifu wanapokabiliwa na dola

    WEWE HUNA LOLOTE INAMAANA UKUMBUKI MATUKIO YA UHALIFU YALIYOTOKEA ......mh... wewe utakuwa wale wale wahalifu wanao tafuta huruma ya wananchi . polisi tunawapongeza kama alivyosema KATI
  6. L

    Mazoezi ya kukimbia (joging) kila Jumamosi au Jumapili

    HIVI kuna nini au watu wamekuwa motivated na nini maana kila mwisho wa week unakutana na makundi mbalimbali ya watu wakifanya joging................. najua wengine wapo humu watueleze, sio vibaya watu kufanya mazoezi lkn natamani kujua kwanini watu amekuwa na muamko kiasi hicho?
  7. L

    Polisi waliofukuzwa kazi warudishwa kazini!

    hakuna taarifa kama hiyo, na hakuna mtu yeyeote mpaka sasa aliyethibitisha kurejeshwa kazini kwa askari hao, sio vizuri kuvumisha taarifa ambazo ni za uongo haileti maana ya kupata taarifa sahihi za matukio ya kweli. kamanda wa polisi kagera amekanusha taarifa hizo ni za uongo.
  8. L

    Polisi waliofukuzwa kazi warudishwa kazini!

    Hakuna taarifa kama hiyo huo ni uzushi ambao unalengo la kupotosha jamii
  9. L

    Jeshi la Polisi: Hili tukio lina ukweli ndani yake au ni kuchafuana tuu?

    Hao bhana ni tabia zao binafsi na wala sio JESHI wanatumia uniform kuaribu sifa za askari hicho kitendo ni kinyume na maadili ya utumishi wa umma, nashauri watendewa haki zao za kimaadili
  10. L

    Polisi wa kiume kukamata wanawake kwa nguvu hii ni sawa?

    Mhalifu ni mhalifu tu, polisi walikuwa wanakamata wahalifu.
  11. L

    Kwa mbinu hii, ni kweli CHADEMA imelifikia nakulivuka lengo lake

    Hakuna lolote mmebanwa tu, lengo lenu lilikuwa kuandamana na kufanya migomo, yote yameshindikana Chagonja amewadhibiti, mkaja na mkakati wa kupandikiza waandishi ambao wengine hawana taaluma ya uandishi wanajulikana walisoma pale SAUT KOZI ya UALIMU sasa hivi eti nao waandishi hawajui hata...
  12. L

    Maandamano ya CHADEMA Bukoba Mjini Septemba 24

    Wamefulia hao hawana sera zaidi ya sera za maandamano
  13. L

    Chadema wameufyata,

    :A S 109: hakuna cha Maandamano wala nini, mbwe mbwe zote zimewaisha mnaishia kupost picha za zamani za mikutano. chezea PT , KAMA MNAUBAVU MBONA HAMKUANDAMANA?
Back
Top Bottom