Sio kawaida, sio kawaida hata kidogo na asikudanganye mtu pia usiifurahie hali hiyo. hilo ni tatizo..mtoto akifikisha miezi 3 anatakiwa awe na double weight ya ile aliyozaliwa nayo. wakwako alitakiwa awe na kilo 6 kwakua alizaliwa na3. naomba kujua apart from maziwa ya mama anakula nn kingine...
Hakuna muda maalumu. wapo watu wanasema miezi 6 lakini mimi nakushauri uanze as soon as possible, ukijigundua tu mjamzito anza clinik kwasababu hakuna unacholoose ukianza. kama kuna tatizo litagundulika mapema na kufanyiwa uvumbuzi, hii itakuweka wewe katika nafasi nzuri za kujIfungua mtoto...
Hata mimi nilikua navyo hivo vinyama juu kidogo ya mashavu yani chini kidogo ya macho hii inatokana na kuwa too soft, bila shaka usoni upo soft sana, mimi nimlaini sana uso wangu unatereza kabisa nikaambiwaga nijisugue na apricot. nilishauriwa na daktari wa ngozi.
Nikawa napaka apricot naanza...
Jamani msimuhukumu huyu dada, kwakua hakuna mkamilifu mbele za haki, yaliyotokea yameshatokea kilichabaki ni kuangalia mbele. kijiti sio kipaya japokua kuna side effects zake. kuna njia nyingi za uzazi wa mpango, moja ikishindwa unashauriwa kujaribu ingine. kuna case kama hiyo kwa co-worker...
Habari zenu, najua unene uliozidi si mzuri lakini mimi ni mwembamba sana hivo naombeni ushauri nipate kujua nini cha kufanya au nile vyakula gani ili niweze kunenepa kwa haraka zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.