Kwakwelii inakitisha Kiongozi wa Kidini kama huyu ambae inaonekana wazi kuwa amesaha kuwa asilimia kubwa ya hao anaowakataza WASIANDAMANE ndio wanaohitaji MABADILIKO yatakayoletwa na Chama kama CDM.
Anajisahau kuwa Asilimia kubwa ya hawa anaowakataza WASIANDAMANE ndio ambao watoto wao wamefeli...
Tunashukuru mdau kwa kutoa maono yako, lakini nadhani ni suala la wazi kuwa ishu iliyozungumzwa na uongozi wa CHADEMA ni kuwa wanawaandikia barua ya "warning" ambayo itahitaji majibu kutoka kwa wabunge hao "Plus" Zitto kutoa sababu za msingi zilizowafanya washindwe kuhudhulia bunge ile siku ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.