Ushafika kibaha boys, tumbi sec ,Marian sec then angalia kama Kuna uvaaji huo usio na nidhamu. Kisha Rudi Kwa hawa wanaovaa za vipedo,na mashati mafupi. Linganisha ufaulu wao. Uvaaji ni sehemu kuvea ya nidhamu
We ni mwanafunz, angalia watoto wanaofaulu siku zote wako smart, hawanaga kwenda na wakati. Kuvaa ni nidhamu, nidhamu ndo Kila kitu Katika ufaulu wa mwanafunzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.