Mkuu kumbe mna ushahidi wa hiyo 10% ya ndege mpaka mme wafungulia watu kesi basi mnatisha.
Swali kwako ndege mnaitumia au la? Jibu moja tu ndio/hapana.
Nani kakuambia mimi ccm? Tafadhali mkuu na matusi yako ya retail.
Nakutajia endeleo moja tu. Mabarabara zaidi ya km 11000. Sasa chukua zaidi 11000km × billion1 @km wastani=Na zaidi ya shilingi trillion ngapi? Utajaza mwenyewe. Mnazani hela za barabara zinazo jengwa kila pahala zinatoka wapi...
Mimi nitasikitika sana kama awamu hii ya nne ya uongozi wetu ita maliza muda wake kabla ya deni kufika trillion 100 tu. Wamefanya miradi mingi ya maendeleo acha wa kope tu, tunaona wanafanyia nini hii mikopo.
Awamu zinazofuata watalipa tuna raslimali nyingi tu. Deni hili ndio kipimo cha...
Wadau ndege hii sio ile takribani miaka 10 iliyopita ununuzi wake ulileta malumbano makubwa kabisa kwenye jamii ya Watanzania.
Kama imetumiwa kwenye maonyesho ya miaka 50 ya muungano tena ikipita ikiwa ina sindikizwa na ndege vita na kushangiliwa na pia kusindikizwa na maneno ya kimombo si...
Jamani habari za kintelegensia hazi kufanya kazi mpaka jkt 25 wanajimobilize na kwenda kuvamia kambi ya ffu. Kuna tatizo mahali.
Lakini siku moja kwenye malumbano ya hoja itv kuna babu mmoja nilimsikia akisema wakati wa awamu ya kwanza Nyerere alikuwa na askari wa kikosi cha inzi au nusanusa...
Wewe Waltham matusi hayana tija udhaifu wa jeshi lenu la kenya umejizihirisha hapo somalia na westgate huu ni ukweli mchungu. Hapo westgate watu wanne tu wamewasumbua zaidi ya wiki. Na mbaya zaidi wanajeshi wenu wakapigwa picha za aibu wakiiba na kuvunja safe.
JWTZ wanafanyakazi zao kwa moyo...
Kenya na hata uganda hamna kitu wameenda hapo somalia alshabab wana watoa jasho kwelikweli labda hizo nchi nyingine sijui.
Ila iraq ya sadam ilikuwa na bora zaidi ya hizi zetu. Usiku mmoja tu wa shock and awe wakabaki hawana kitu, sisi bado sana tusibweteke na kuvunja matofali na sema bado...
Mh unaugomvi na polepole naona humtakii mema, unataka aende bmk na hoja zake zilivyo na mashiko akaharibu mpango mzima na wenye huo mpango wa muangalie tu.
Kadhihirisha ule wasiwasi wa mh mkuu wa nchi aliokuwa nao kuhusu serikali tatu kuwa zinaweza kusababisha jeshi kufanya maasi na kupindua nchi. Yeye kautangazia umma wa Watz kupitia bmk kwamba rasimu ya katiba iki kubaliwa na kupitishwa na wananchi kama ilivyo anaingia msituni. Ikumbukwe huyu ni...
Ningependa msome maneno haya ya Mungu kutoka Biblia Takatifu, Zaburi 1:1-2 na yana sema hivi;
Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake...
Kama nia ni nzuri ya kupata katiba ya Wananchi, na tume ya Warioba ndio iliyopewa wajibu wa kukusanya maoni ya Wananchi, iweje leo ukereke wanapotoa ufafanuzi wa yaliyomo katika rasimu?
Unapo sema twakimu zilizopo kwenye rasimu zimepotoshwa hazifaia kutumiwa kutengeneza katiba, wewe unakuwa...
Angasema ni mungu gani anaye maanisha labda mungu wa baali hapo mlingotini. Mungu wa Eliya si hivyo ni Mungu wa kweli tu. Haijalishi ni wengi au wachache ni kweli tu.
Hawa wachungaji wa mshahara hawa, watatuyumbisha sana na bahati mbaya wana sikilizwa na wengi. Na Mungu anasema watu wangu...
Kwa mujibu wa mabavu na mashinikizo ni kweli hivi unavyosema lakini je katiba isiyo na maridhiano itafanyakazi na kufanikiwa enzi hizi za mahakama ya the hague? Hapo sasa. Nakumbuka kumuona muheshimiwa Rutto wa kenya akifuta machozi mahakama kule uholanzi wapambe wake wote wakimchungulia tu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.