aisee ni aibu sana, tunakokwenda ni kubaya, wananchi hatuna wawakilishi tena bungeni bali tuna watu wanaopata posho wakati hali za wananchi zinakuwa mbaya zaidi. vita badala ya mijadala yenye tija itaisha lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.