katiba ni sheria mama kwa nchi yoyote inayoongozwa kudemokrasia, ila ili katiba iwe nzuri lazima ijaribu kukidhi makundi yote ya binadamu. katiba ieleze wazi haki za watu, umiliki wa ardhi na mengine kama hayo. watu wapewe fursa sawa pamoja na kudai HAKI mahakamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.