Nimeipenda hii mamaNa. Tafadhali nami naomba details lukutta@gmail.com kuna eneo nataka nalitaftia pesa ya kuwekeza kwenye kilimo. Mke wangu ana taaluma ya kilimo na amekuwa akinisisitiza sana juu ya greenhouses. Nina eneo tayari natafuta mtaji wa kuwekeza. Alipata mtaalam wa hii kitu kwa abt...
I have the same feeling bro. Unajua vitu vya mfano huu tunavishuhudia sana kwenye sinema mbalimbali za kijasusi. So it's possible baada ya muda tutasikia kundi flani linajitangaza kuihold. Ila kama sivyo itakuwa imezama very deep.
Isikutishe sana kiongoz, ni ndinga makini with high performance kutokana na mfumo wa Direct Injection 4 Stroke (D4). Pia fuel consumption sio ya kutisha kutokana na mfumo wa Variable Valve Timing with Intelligence (VVT-i).
Jamani kama kuna aliyeshuhudia uapaji wa mtikila kutokana na msimamo wake kwa kuitetea Tanganyika je atatamka maneno 'mtiifu kwa jamhuri ya muungano wa tanzania??
Leo comrade ameitambua Jamuhuri tena na kuapa katika jina la Yesu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.