Recent content by Lukuiza

  1. Lukuiza

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kutangaza kujitoa kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani walizoshinda

    Thank yu, your empty headed has that craziness of not considering the life of others gibarish
  2. Lukuiza

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kutangaza kujitoa kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani walizoshinda

    TUTAANDAMANA KUTAFUTA MKATE WETU WA KILA SIKU Na: MDUKUZI Nawaza Watanzania walivyo jiamini kuhudhuria mikutano yote yaani mikutano ya chama tawala na vyama vya upinzani, Watanzania sio wanafiki, Watanzania niwakweli na wanaupendo wa dhati, na wanamuheshimu mtu, lakini wanaipenda Sana nchi...
  3. Lukuiza

    GE2020 Watanzania wameamua...

    Tumbo GANI mkuu Mimi niko ZANGU island nalima mpunga nani analisha tumbo langu tofauti na mimi mwenywe Unao Ushahid mkuu ACHA HUU uzushi MZEE taasis za kimataifa na za NDANI zime prove Kuwa kuna amani na uchaguz wa huru na haki
  4. Lukuiza

    GE2020 Watanzania wameamua...

    Leta hoja ACHA HUU upupu
  5. Lukuiza

    GE2020 Watanzania wameamua...

    Polisi wamelazimishwa wapi bwan ww acha kumsikiliza uongo na uzushi wa WATU wengi mkuu usiwe subjectivity lkn uwe objectivity
  6. Lukuiza

    GE2020 Watanzania wameamua...

    Watanzania wameamua kuendelea kuwa na haya yafuatayo:- Mambo hamsini tu! Na:KAWAWA 1. Elimu Bure 2. Barabara 3. Madaraja 4. Meli 5. Uchumi 6. Afya 7. Ndege 8. Viwanja vya Ndege 9. Maji 10. Utatuzi wa kero 11. Upendo kwa wananchi 12. Kutetea haki 13. Kulinda Uhuru wa Wananchi 14. Uzalendo 15...
Back
Top Bottom