Ukimuua "an innocent person" unakuwa mentally unstable. Acha ubishi ndio maana askari 80% wanatumia Pombe na sigara kupunguza wenge kwa sababu kazi zao ni za kuua na kudhulumu raia.
Yule askari aliyejichimbia karibu na kuchonga jeneza lake, unafikiri kapenda?? Lile ni wenge.
Mnakwepa majukumu nyie wala rushwa. Muuza gesi anapaswa kuwa na mizani ya kupimia mtungi kabla ya kuuza kwa mteja.
Mnakaguaga nyie?? Mbona watu wa TFDA wanakaguaga maduka ya dawa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.