Biashara ni suala gumu sana Sema tunalikimblia tu bila kuelewa we hiyo igawe Mara mbili 12.5 kafungue goli la spea za pikpk maeneo yenye migod ya dhahabu then piga kaz kwa miez 6 utakuwa umeijua biashara yako inapanda au kushuka
Habarin Wana-JF,
Nahitaji msaada wa kujua ninawezaje kupata vifungashio vinavyokubalika kisheria vya kufangashia mazao jamii ya kunde na kama kuna mashine zinazoweza kubana nahitaji kuanzisha biashara ya kupaki na kusambaza dengu ila nataka niwe na nembo yang maalum so nimeshindwa namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.