Recent content by lugendo_einstein

  1. L

    DOKEZO KERO Kero: Madarasa katika Shule Teule ya Sekondari Kigoma Ujiji yanavuja, ni kero kubwa kwa Walimu na Wanafunzi

    Me ni miongoni mwa wanafunzi tunaopitia adha hiyo jambo ambalo nimekwisha lalamika kwa mkuu wa shule lakini akasema hakuna pesa ya kufanikisha ukarabati hivyo tunapata tabu mvua zinaponyesha mtusaidie kupaza sauti kwa mamlika zinazohusika
  2. L

    DOKEZO KERO Kero: Madarasa katika Shule Teule ya Sekondari Kigoma Ujiji yanavuja, ni kero kubwa kwa Walimu na Wanafunzi

    Shule inaitwa Kigoma Ujiji inapatikana kata ya kigoma mjini ni shule teule ya mkoa wa kigoma ambayo zamani ilikuwa ikitambulika kama Agacan
  3. L

    DOKEZO KERO Kero: Madarasa katika Shule Teule ya Sekondari Kigoma Ujiji yanavuja, ni kero kubwa kwa Walimu na Wanafunzi

    Naomba kuwasilisha kero kwa Mamlaka zinazohusika kwani madarasa ya Shule ya Sekondari Teule ya Kigoma Ujiji katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji yanavuja jambo linalowapa shida Wanafunzi. Wakati mvua zinaponyesha kunakosekana utulivu wa kusoma kwakuwa kila mahali panakuwa panavuja...
  4. L

    KERO Barabara kutoka Pasua - Mahembe inaendelea kuharibika, tunaoitegemea inaweza kutuathiri

    Nitoe wito kwa mamlaka zinazohusika kushugulikia uharibifu uliofanywa na mvua katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, barabara ya kutokea Pasua kuelekea Mahembe iliyosombwa na maji, imesababisha changamoto kwa Watumiaji wa barabara hiyo. Licha ya kuwa barabara hiyo inatumiwa na magari ya...
  5. L

    Naomba ufafanuzi kwenye hii Picha ya Kim Jong Un na Raisi wa Ukraine

    Jamani hii Picha ninayo iona hapa ni ni ya kweli au imetengenezwa na akili mnemba AI
Back
Top Bottom