Recent content by lugano27

  1. L

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Mi nawaza wanajeshi wanajisikiaje makubwa wao kuitwa wakati wahusika ni wanasiasa na mambo yao ya siasa! Huko mbele wataanza kukata baadhi ya amri (MAELEKEZO)
  2. L

    JamiiForums Tanzania Maloto: Tanzania inahitaji 'Statesmen', si wakosoaji kama Warioba

    Nami natamani nisaidie ili nijue zaidi. Kuwa statesman unajichagua au unachaguliwa? Warioba eti ni kama ana upande, kwani alivyokuwa anashauri hakuwa anaonekana? Kikwete anasema kama Kuna warioba wangempenda angeshangaa, je hilo ndio lionyesha kuwa matatizo ni warioba au Kikwete. Kwani...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Nchimbi bado anaomboleza kufukuzwa kazi

    Huyu ndugu amekosea nini kwa kuandika alichoandika? Baba yake ndio aliacha shida zote hizi aliona madudu ya katiba ila hakufanya lolote, vipi mzigo huu umbebeshe Poppy?
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatukana Serikali, kwanza elewa Serikali ni nini?

    "Hivi unaamini kama kuna watu tu katika mfumo wamelishwa sumu kiasi kwamba wanaweza kuona umemtukana kiongozi basi wakaamua tu kujichukulia mambo wanelewa zao pombe wakaamua tu acha tule sahani moja na huyu dogo ukajikuta matatizoni na hapo hata hawajatumwa na huyo kiongozi" Tumkate wee, ila ona...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatukana Serikali, kwanza elewa Serikali ni nini?

    Huyu mtu kaongea UKWELI haswa! Sijui tutakavyomjibu ila ni wazo linaloweza kuokoa watu wengi dhidi ya kiitwacho 'HASIRA DHIDI YA SERIKALI'. Tuwaze hivi, rais anateua watu mbalimbali na kama anaondoka basi ni kawaida hata wateule wake wengi wanaondoka, vp ikiwa wataona hatari ya anayewateua...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu: Kwa miaka 10 iliyopita, hakuna uchaguzi bora uliofanyika kama wa CHADEMA

    Tujipe muda, tusiwe na haraka. Tunakwenda wapi? Nchi hii itakuwepo miaka mia tatu, mia tano ijayo. Tunatengeneza si tu kwa ajili yetu sisi, ni hao wanaokuja baada yetu.” Kauli ya maana kabisa hii.
  7. L

    JamiiForums Tanzania A weak leader becomes a prisoner of approval

    Sometimes these narratives are nothing if the whole situation remain the same. If you're at the position of knowing many issue, let all know for the actions. Achaneni na hizi mambo za stori stori nchi inazidi kudidimia. Otherwise tukae kimya tu
  8. L

    JamiiForums Tanzania Nawashangaa wanaosema Makonda anafaa kuwa Makamu wa Rais

    Hatokusikiliza. Ni mtu anayeamini wengine sie ni wajinga flani hivi.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Heche Anakiwasha Sana leo Clouds TV/FM - MSIKILIZENI

    Namaanisha mic.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Heche Anakiwasha Sana leo Clouds TV/FM - MSIKILIZENI

    Mdogo mdogo mara zile mic, shwaa jamaa hayupo. Zinasogezwa taratibu. Ilianza ITV leo Mawingu
  11. L

    JamiiForums Tanzania Nimefikia kikomo cha mwisho cha uvumilivu huu ujinga sasa basi

    Strike!
  12. L

    JamiiForums Tanzania Britanicca: Alhamisi 28/08/2025 nitaleta Uzi ambao sidhani kama Taifa litabaki moja

    Kama mnalo la kufanya ili kuliokoa Taifa fanyeni hata ikiwa viapo ambayo tulidhani ni kwa ajili ya nchi kumbe kulinda maslahi ya watawala vinakiukwa, FANYENI!
  13. L

    JamiiForums Tanzania Kuwatetea Watanzania inahitaji kidogo uwe na tatizo la Kisaikolojia

    Mwenge umefanikisha ajenda
  14. L

    JamiiForums Tanzania Anna Tibaijuka: Ndugai aliniambia kwamba suala la Lissu ni “Maelekezo”

    Khaa! Wewe ungeweza?
Back
Top Bottom