Mi nawaza wanajeshi wanajisikiaje makubwa wao kuitwa wakati wahusika ni wanasiasa na mambo yao ya siasa! Huko mbele wataanza kukata baadhi ya amri (MAELEKEZO)
Nami natamani nisaidie ili nijue zaidi. Kuwa statesman unajichagua au unachaguliwa?
Warioba eti ni kama ana upande, kwani alivyokuwa anashauri hakuwa anaonekana?
Kikwete anasema kama Kuna warioba wangempenda angeshangaa, je hilo ndio lionyesha kuwa matatizo ni warioba au Kikwete. Kwani...
Huyu ndugu amekosea nini kwa kuandika alichoandika?
Baba yake ndio aliacha shida zote hizi aliona madudu ya katiba ila hakufanya lolote, vipi mzigo huu umbebeshe Poppy?
"Hivi unaamini kama kuna watu tu katika mfumo wamelishwa sumu kiasi kwamba wanaweza kuona umemtukana kiongozi basi wakaamua tu kujichukulia mambo wanelewa zao pombe wakaamua tu acha tule sahani moja na huyu dogo ukajikuta matatizoni na hapo hata hawajatumwa na huyo kiongozi"
Tumkate wee, ila ona...
Huyu mtu kaongea UKWELI haswa! Sijui tutakavyomjibu ila ni wazo linaloweza kuokoa watu wengi dhidi ya kiitwacho 'HASIRA DHIDI YA SERIKALI'.
Tuwaze hivi, rais anateua watu mbalimbali na kama anaondoka basi ni kawaida hata wateule wake wengi wanaondoka, vp ikiwa wataona hatari ya anayewateua...
Tujipe muda, tusiwe na haraka. Tunakwenda wapi? Nchi hii itakuwepo miaka mia tatu, mia tano ijayo. Tunatengeneza si tu kwa ajili yetu sisi, ni hao wanaokuja baada yetu.”
Kauli ya maana kabisa hii.
Sometimes these narratives are nothing if the whole situation remain the same. If you're at the position of knowing many issue, let all know for the actions. Achaneni na hizi mambo za stori stori nchi inazidi kudidimia. Otherwise tukae kimya tu
Kama mnalo la kufanya ili kuliokoa Taifa fanyeni hata ikiwa viapo ambayo tulidhani ni kwa ajili ya nchi kumbe kulinda maslahi ya watawala vinakiukwa, FANYENI!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.