Kama mnalo la kufanya ili kuliokoa Taifa fanyeni hata ikiwa viapo ambayo tulidhani ni kwa ajili ya nchi kumbe kulinda maslahi ya watawala vinakiukwa, FANYENI!
Hapa umetizama vibaya, kanuni nyingine ni kwamba sio lazima mbuyu ukatwe bali uoze uanguke wenyewe tu. Afanyalo ni kuufanya uoze wenyewe. Only God remains forever
Hahahaa, Pascal amini tu kuwa wajumbe wa shetani ila hata wangekuwa wa YEYE wala halazimishwi namna ya kuongea na sababu za kuongea. Ila jiangalie isijekuwa UNAKUFURU ikiwa kweli wametumwa kusema NIMEMKATAA SAUL, ninamtumishi wangu kwenye nyumba ya Yese naweza wasema ni wajumbe wa Mr devil. Acha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.