Recent content by Ludger07

  1. L

    TCRA: X ndio wamesitisha huduma nchini. Tuliongea nao waondoe maudhui ambayo hayana "maadili" ya Kitanzania

    Haa haaaa! Na hecheka tu, hivyo maudhui ya liyopo TikTok ni mazuri kuliko Twitter? Hivyo hayo mauchafu ya watu kukaa uchi nayo ni staa? Hopeless 🚮
  2. L

    KERO PEPMIS changamoto watumiaji wapewe taarifa

    Kumekuwa na Kero ya kusuasua kwa mfumo wa PEPMIS kwa kitambo Sasa. Mara mtandao umefungwa, mara uliweka taarifa huzioni. Na mbaya zaidi hata huduma zile za kuunganishwa na Taasisi za fedha ni hazina ungano kwa Sasa. Mimi binafsi nimepata changamoto katika maombi ya mkopo. Ambapo ninaambiwa...
Back
Top Bottom