Recent content by luchelele mzunguko

  1. luchelele mzunguko

    Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

    Ebu eleza vizuri samahani lakini mimi ni shabiki yake sijui kama aliacha mtoto ebu fafanua samahani!
  2. luchelele mzunguko

    Ewe Dereva hasa mgeni wa safari ndefu, ukikuta kuna mtoto ama mtu katikati ya barabara eneo ambalo ni porini usithubutu kupita pembeni

    Hii ni kweli tunaelewa madereva wa masafa marefu tu ilinitokea kipindi cha nyuma pori la geita katoro kipindi hicho lilikuwa pori kweli dah usiku saa saba katikati ya barabara mbele kuna mwanamke kasimama mrefu kichizi halafu mrembo haswa[emoji848] Bahati nzuri nilikuwa na utingo akashauri...
  3. luchelele mzunguko

    Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

    Yeah hii kafanya uncle wangu pia kigogo mkubwa anacheo kikubwa sana jeshini lakini kwao kijijini hata choo shida sijui watao mleta siku amekata moto watajisaidi wapi [emoji51]
  4. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Pesa za mkopo unanunua gari hivi utapata akili lini wewe mwalimu
  5. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Hacha kuwaza sana hata ivyo na wewe nashukuru matatizo yako furaha yangu mkeo kasha niambia kila kitu now ata show akupi anasema umekuwa mchafu sikuhizi uogi so now nagonga tu mpaka tigo duh tamu hiyo na vile mweupe bonge ya tako[emoji39] Ongera kwa kuwa na mke mzuri ila wewe usipo badilika na...
  6. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Inakuhusu na wewe hiyo na mwaka huu mkeo anakukimbia umekuwa na stress mpaka kuoga unasahau anasema unanuka jasho sikuhizi ata game anakubania apendi uchafu.
  7. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Yeah ni mwalimu namjuwa tupo nae kitaa hapa Asipokuwa makini atachizi.
  8. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Yeah anamsongo mkubwa wa mawazo juu ya deni alilokopa serikalini na hela imeisha bila kufanya la maana, Sasa ujinga wake unamfanya achukie kazi ya ualimu lakini chakushangaza aiachi kazi hii Awe makini atachizi awe mweu.
  9. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Mwalimu mwenye stress za madeni na asipokuwa makini atachizi.
  10. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Stress zako zilizosababishwa na wewe mwenyewe juu ya deni lako serikalini linalokupunguzia ki mshahara chako isiwe chanzo cha kuchafua ualimu, Umekaa unausema vibaya ualimu mbona uuachi kama we mwamba kweli Na usipokuwa makini kutatua changamoto zako maishani utachizi wewe.
  11. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Hapana ni mwalimu uyu alikopa anadaiwa pesa ndefu now anamsongo mkubwa wa mawazo kwani pesa aliyokopa imeisha bila kufanya cha maana huku mshahara unatoka kiduchu [emoji16][emoji16][emoji16]
  12. luchelele mzunguko

    Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

    Ni mwalimu mwenye stress zake namjuwa tunaishi nae hapa kitaa.
Back
Top Bottom