Hahaaaaa usimdanganye mjomba una cheti cha jkt n bure ktendo… uyo mujibu mwenyw ana hali mbayaa…. Kadet wanepgwa stop wanachukua wakujitoa na s mujibu tena
Jamani mnao sema cheti cha JKT Kisiwe kigezo kweny hiz sekta za ulinzi unategemea walioenda kujitolea wataajiriwa wap…tofaut nahvyo unatengeneza picha mbaya baadae n bora wakaajiriwa ata wachache itasaidia na bado cheti cha Jkt kitakuwa deal sana kweny ajira serikalin maana jkt kuna wasomi wengi...
Naomba msaada laptop yangu ilikuwa inakaa na chaji fresh sasa juzi usiku nilikuwa naitumia nikaizima kuja iwasha asubuhi naweka charge kweny upande wa betri inachora x the inaandika charge connected but not charging hapo nini shida?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.