Rais Kikwete una maneno mazuri sana,kama mtanzania ambaye alikuwa hajawahi kukusikiliza atajua kweli huyu ni Rais,lakini kwangu mimi hunidanganyi chochote,kama hizi hotuba huwa una andaliwa tu ndipo unakuja kuzisoma bila ya kuzihariri ndiyo maana unandanganywa ila kama na wewe huwa unazisoma...
Ni kweli haya ni mateso ila cha kufanya serikali ilipaswa kusema ni lini itatoa ajira hizo ili kila mtu ajue cha kufanya,na kama ana mambo mengine mtu akafanya sio kuenderea kukaa bila kujua hatima yake!
Si kweli hata kidogo,maana jana naibu waziri wa elimu ndg Philipo Mulungo alisema kuwa fedha ziko mbioni na ajira ni muda wowote,tatizo la fedha ni za kujikimu ila tayari limekamilika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.