Recent content by Lucas Kiula

  1. L

    Safu ya uongozi CHADEMA haipangiki

    kuna magonjwa mengi ambayo hayana dawa - mengine ya mwili na mengine ya kimawazo. Ati majira haya yupo mtu anaamini kuwa eti CHADEMA hawawezi kuandaa na kupata viongozi wake. huyu ni mtu wa ajabu sana na hakuna dawa yake.
Back
Top Bottom