Recent content by Lucas Juma okal

  1. L

    hodi wanajamii

    Pili ningeomba kupewa zile hotuba zilizokuwa zikitolewa na Radio Tanzania Dar es salam pindi tu baada ya kusomewa taarifa ya habari ziitwazo mazungumuzo baada ya habari zote zikiletwa na Abdul Ngalawa.
  2. L

    hodi wanajamii

    Hodi hodi wanajamii! Mimi naonelea ni jambo jema kujiunga nanyi katika jamii hii, naitwa Lucas juma kwa majina, ni Juma Mkristo sio muislamu. Kwetu ni Ruiru katika Kenya. Jukwa hili ningependa lininufaishe kilugha ya Kiswahili na mambo mengine ambayo kwa kidogo naonelea nivema kushughulikia kwa...
Back
Top Bottom