Kamanda mtoi! Nakufanananisha che guavara! Hulikua huyumbishwi kwa hoja nyepesi nyepesi,ulikua makini ktk kujenga,kuandaa na kupangilia hoja zako! Mapambano yanaendelea kamanda kunge kuwa na mawasiliano ya huko ulipo tunge kupa taarifa nchi imekombolewa rasmi ili upate kumjuza J.K.NYERERE NA...
Wazo lako ni zuli sana naliunga mkono asilimia mia! Ila tuwe makini na wakwale wakaiba hii aidea nzuri kabisa wakaenda kujikusanyia pesa kwa njia za panya! Wakajifanya wao ni wanandugu wenye uchungu na mpendwa wetu!
Enyi watumishi wa serikali msikubali hizi danganya toto za magufuli jana wakati anazungumza na wanaigunga alidai tatizo la rushwa kwa wafanyakazi linatokana na mshahara mdogo pamoja na kukatwa kodi kubwa! alikua wapi kipindi kile katika bunge la tisa wakati wakina kafululila wanalipigia tatizo...
Kwenu wanajamvi! Naufuatilia kwa makini uchaguzi wa mwaka huu! Haya ni mapambano ya walala hoi walio choka kula mlo mmoja kwa siku kama kiboko dhidi ya wale walala hai ambao ndio wapinga mabadiliko! Hawa walala hai walisha jiaminisha kua watawashinda walala hoi hata kwa goli la kuvizia...
Haja panic ila ni kujaribu kumuweka sawa huyo aliyemuita rais wetu fisadi bila kua na ushahidi na pia kumkumbusha nchi hii imekumbwa na kashfa nyingi tu! Nadhani unazijua
Twenda mbele rais wa a town! Najua wanafiki wanaozuia mipango yako ya maendeleo watakwama tu! Walioshindwa kupambana watatelemka safari inaendelea! Hii ni vita na adui yetu ana mbinu nyingi katega mabomu ardhini kumaliza waendao mstari wa mbele!
UVCCM ni moja ya taasisi zilozopoteza mvuto kwa vijana! sababu moja kuu ni kua imekua ikitumika kuandaa watoto wa vigogo kuwa wanyang'anyi badala ya kuandaa viongozi wa baadae. uvccm imebakia kama kijiwe cha wapika majungu na walevi na waganga njaa haina mvuto na ushawishi kwa vijana tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.