Nakwambia baada ya, sasa bongo zao zimeanza kujaa upya.Washukuru Mungu bila kutoa uamuzi huu wengine wangeshaanza kuokota makopo maana bongo zao zingeshaingia west na south kwenye axis za y na x.
Mawazo mgando uliyo nayo huko tulishaondoka baba.Mtu aliyekuaminisha nchi hii ni tajiri ndo alikupoteza maana ubongo wako usivyojitahidi kutanuka akakueleza pia kwamba hakuna asiyekopa huku akidai yeye ni tajiri. Pia malalamiko jamii ya kibeberu kumnyima misaada nawe kawaida unapita humo humo...
Nahisi nawe hoja unaiinua kisiasa. Ushindwe. Mpo wengi wenye mtizamo wa kipuuzi juu ya uongozi uliopo sasa. Udikiteta wenu umeisha nguvu. Tuinue taifa linalozingatia haki. Hamtaki? Mungu keshaamua na iwe. Tumepitia mengi unanitia uchungu kwa bandiko lako hili.
Sent from my SM-A305F using...
Uandishi wako tu inaonyesha huna uwezo wa kutambua nzuri au baya.Ningeshangaa kama ungesema kwamba report ya CAG ilikuwa ya kweli.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Rudi ukaisome utajua ni maeneo gani zilikuwa zinachotwa tu, mfano, pale wizara ya maliasili watu walisaini mamilioni ya kupandia mlima na utangazaji fake wa utalii, Tasac watu walikuwa wanajilipa mamilioni ya kikao kila siku nk.Acha tu ndg yangu.Shukuru nyakati hizi takwimu zinaonekana.Hayo...
Acheni tu unafiki uso na tija.Unajitokeza kusifia kwa vile naona data zipo peupe.Enzi ya shujaa nani angedieiki kuonyesha wazi kitu kama hiki?Ripoti ya CAG iliyotolewa juzi juzi ukaonyesha mabilioni yaliyopigwa enzo za shujaa mbona hamkushadadia? Acheni uzandiki.Enzi za kuelekea faida tu...
Wakumbushwe pia kuwa utawala wa sheria ni Bora kuliko kila mtu akiamka anapanga ya kwake.Hii nchi ilishenda ulimwengu mwingine.Mfano sheria imetungwa na bunge kwamba mtu kuendesha chombo cha moto ni lazima awe na learning.Sasa waendesha pkpk wengi ni wavunja sheria , maajabu wabunge hao hao...
Nchi hii watu wanaokula kupitia siasa wametugeuza kuwa wajinga na inawezekana wakatuchukulia hivo kutokana na kuwapigia kura wakati sifa za kuwa viongozi Hawana.Huyu si ndiye aliyechopoa samaki kwenye masufuria ya mgahawa wa bunge na kuwapima urefu.
Mm nafikiri kuna tatizo hapa, aliyewakilisha ripoti ya wizi ni Mbowe au CAG? Kama ripoti ni ya uongo au tafsiri yake ina lengo la kuichafua serkali huyu si ndiye mwajiriwa wa serkali hiyo hiyo anayoitolea taarifa za wizi? Sasa hapa Mbowe anahusikaje? Namalizia kusema haya kwa hili analotueleza...
Ndo unaulizwa hivyo! Unaamini fubu la Olivia lilikuwa la Adamu.Endeleeni kuwasikia janabi wa uongo ambao Mungu hajawatuma kusema maneno wanayodai ni maono kutoka kwake."MTAISHA"
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Boss, mbona ngumi zite kwa chadema tu wakati kuna clips zinasambaa mtifuanowa video na majeruhi wa ACT wazalendo.Mbona hofu inatanda hv?, Serkali si itoe tamko juu ya ulinzi wa hawa mnaodai wanna taarifa za kupika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.