mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
Kodi ndio msingi Wa kila kitu. Katikà kutekeleza mipango ya Taifa lolote. Hebu tusaidiane kupeana mrejesho Wa makusanyo ya kodi kwa mwezi Wa NNE na watano. Mama amesisitiza watu walipe kodi bila shurti.
Mwitikio ukoje?
Mwitikio ukoje?