Recent content by lramba

  1. L

    JamiiForums Tanzania Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

    Kama Mungu mwenyewe akasema alimpa mwanaume msaidizi mm nan hata nipinge ,mwanamume ndio kiongozi mtafutaji na mzalishaji na mm ni muhudumu haipingiki na Mungu anisaidie nisiache majukumu yangu
  2. L

    JamiiForums Tanzania Uzoefu ni jambo muhimu katika Maisha, inakuwaje watu mnawakataa single Mamaz kwenye mahusiano ya ndoa?

    Kwahyo ni kosa kuwa single mom au kosa ni kutokumaliza mahusiano ya mwanzo?
  3. L

    JamiiForums Tanzania Briffault's Law inasema Mwanamke hawezi kuwa na mahusiano ya aina yoyote na mwanaume kama hafaidiki

    Hayo ni ya hyo mwanasayansi ila sio ya kwetu
  4. L

    JamiiForums Tanzania Nimemnunulia mama yangu mzazi zawadi ya nguo Mke atokwa na maneno makali ya dharau

    Sisi wanawake hatupendanagi hiyo ni nature mama ni mtu muhimu na mke pia angalia jinsi gani ya kuwahudumia pasipo kusikiliza maneno kutoka kwa yeyote mama ana nafas yake na mke ana nafas yake
  5. L

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

    Hujui unataka nn kwahyo mtu kukuonyesha upendo imekua keroo? Hata mtume alisema tuitane majina mazuri mazuri ya kimahaba kama laaziz,mahabuba na mengine mengi mazuri hivo tulia baba mtuu
  6. L

    JamiiForums Tanzania Ipi ilikuwa sababu ya kuachana na uliempenda sana?

    Hakua mkweli kwenye mahusiano
  7. L

    JamiiForums Tanzania Ni Viashiria gani ukiviona kwa mtu ujua hakupatiwa malezi mazuri?

    Hana malezi mazuri au kiburi cha uzima
  8. L

    JamiiForums Tanzania Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

    Hilo la kwenda kwa washenga nimeshajaribu kwenda hafiki akipewa wito ,nakaa chini namuuliza kwa upendo tatzo lipo wapi ili nijue hasemi akiamua kununa mwaka mzima ni ananuna sasa mzima mwenye watoto akiamua kununia mpaka watoto wake kweli hapo kuna usalama c lazima uhisi huyu mtu ana matatzo
  9. L

    JamiiForums Tanzania Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

    Sijawahi mpa trauma yoyote angekubali nae kujieleza ingekua poa ila ndio hivo haiwezekani kuna mdau alitoa hoja ya kua alikosa malezi yenye upendo utotoni hii imenijengea kujua tatzo lipo wapi ni kweli kabisa kwa historia yake alilelewa kwa manyanyaso sana mpaka kukua kwake hakuwahi kupata...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

    Sina mchepuko na wala sifikirii kua nao niache kuwaza pesa nijiongeze stress za maisha
  11. L

    JamiiForums Tanzania Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

    Yaani hyu nae ni wale wale yaani utasema naishi nae anavolazimishia mambo
  12. L

    JamiiForums Tanzania Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

    Nakaa kutimiza matakwa yake hataki kutoa talaka maana hapa imebakia ndoa jina hakuna kinachoendelea
  13. L

    JamiiForums Tanzania Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

    Sijasema namfungulia shauri mahali popote ,sina mahusiano nje sijamnyima tendo ila ni yeye ndio kaninyima na mm sioni haja ya kumlazimisha mtu kitu asichokitaka
  14. L

    JamiiForums Tanzania Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

    Hakuna kitu kama hicho unachofikiria wanaume hijikuta wajuaji hata mkikosea hamjui mmekosea hamtaki kuambiwa ukweli sina chochote cha kumpita yy buana mkubwa
  15. L

    JamiiForums Tanzania Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

    Asante mwaya kwa ushauri nitaufanyia kazi vilivyo
Back
Top Bottom