Chizi huyo, anajisifia kuwa na kichwa upanga, hajui kuwa wenye Autistic spectrum wote ndio hawana machogo. Mataahira, Maza Faka. Mzanzibari anamcheka mbara ana chogo. Idiot.
Na wewe nakuuliza, unanijua mimi ni nai!? Na aliyeuwawa unamjua!? Ni kichaa gani kinachokufanya useme tulikuwa tunasema nyokonyoko kwa Samia!?? Narudia si bro wala mimi ambao tupo ktk political movement yoyote iliyosupport maandamano ya ghasia, na kwanza bro alikuwa mginjwa, ametulia tu...
Ndio maana nakwambia kuwa wewe ni mwehu wahed. Soma hapo juu, kaka yangu mimi wamempiga risasi nyumbani, wacha kushabikia usiyoyajua, T.W.A.T, huo ushahidi unaouhitaji ni upi? Wacheni kutuharibia nchi kwa mahaba ya kishetani.
Wewe ni mpumbavu wahed, unanitia hasira bure kaka yangu ameuwawa, na alikuwa nyumbani halafu leo unaniuliza kuleta ushahidi!? Wacha ufala. Mambo usiyoyajua usishabikie, eti sababu ya uchawa wako. Just shut your hole.
Hivi wewe kweli ni mtanzania? Huoni kuwa mnaiharibu hii nchi yetu pendwa kwa mihemuko yenu isiyokuwa na tija!? Kweli huna uchungu na hii nchi na watanzania wenzako wanaokosa haki zao, kuuliwa, kufirwa, kutekwa, kunyimwa haki za kudemokrasia, kuumizwa n.k. Just grow up & be serious.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.