Bado kuna sehemu fikra zako zimekwama unahitaji a jump start leads on to jump start it back on. Ni hivi Wanasiasa wa upinzani wapo ktk wakati mgumu sana unaoambatana na kuminywa kwa haki za kibinadamu kinyume na katiba ya nchi yetu na hata kimataifa (sina haja ya kuziambatanisha kama wewe ni...
Hebu soma hapo juu umeandika nini!? Unajaribu kujustify ujinga, huoni kuwa mpumbavu ni yule ambaye ameingia madarakani bila ridhaa ya wananchi?I repeat, wacheni utoto na kiburi.
unawezaje kuthubutu kupima uhalifu na adhabu ya kifo, hiyo ni sheria ya wapi? Wacha kujitoa ubongo. Katafute nchi yako inayoua wananchi wake kwa sababu ya uhalifu wa kuharibu mali na miundo mbinu. Sio TZ, hii sio nchi ya kigaidi. Ufike wakati sasa wakiri makosa ili tu move on, wacheni utoto na...
Mficha maradhi, kifo humuumbua. Yetu macho na waache washupaze shingo, ni hulka yetu waTZ kufunika kombe. Ila yajayo yanafurahisha sanaaaa. Let's see who will have the last laugh.
Wanataka kuanza kupora mashamba na nyumba za watu kwa sababu ya kufeli kwa serikali yenyewe. Hii serikali batili ya kifisadi ipo ktk wakati mgumu sana.
Ndio maana nasema unatia kinyaa, haya ni mkumbo gani ambao naufuata. Umepoteza muelekeo sababu ya uchawa, hata hujui nini unaandika. Wajinga kama nyie ndio mmeliingiza hili taifa hapa tulipo.
Wewe ndio unifahamishe maana umekinzana na maandishi yangu yanayodadisi mada chokozi, sasa umeandika kuhusu masuala ya kutusi ukimaanisha hapo kuna vinasaba vya matusi. Sasa labda utuambie tusi maana yake ni nini!? Na lipi lilikuwa ni tusi kwa mtazamo na ufahamu wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.