Recent content by LoyalTzCitizen

  1. LoyalTzCitizen

    Iran wameishiwa mbinu wanataka kulipua makampuni binafsi, ni kama Tanzania ipigane na SA halafu ianze kulipua viwanda vya blueband na Vaseline, Kenya

    Wewe nipe mfano mmoja wa viwanda ktk listi yako ambavyo vimelipuliwa na US au Israeli, na pia lete chanzo cha habari yako pia.
  2. LoyalTzCitizen

    Kifo cha William Lukuvi na Jenista Muhagama. Ni fumbo kubwa linalotakiwa kufumbuliwa, Who is Next?

    Kwa kweli inafikirisha sana. Hatma ya fikra hii ni fumbo lisilo na jawabu bado, labda muda utaleta majawabu. Je itakuwa too little, too late to act!?
  3. LoyalTzCitizen

    Wakili peter madeleka: Mafwele huwezi kutajwa na wananchi kama muuwaji na mtekaji alafu tuka kuangalia tu lazima uwajibike

    Ooh finally!, kuna mtanganyika anaanza kuzinduka. Is it too far too late now!?
  4. LoyalTzCitizen

    PostGE2025 Samia: Nimeliponya Taifa kwa kuanzisha Wizara ya Vijana na kuwaachia huru watuhumiwa wa kesi ya Uhaini

    Leo kuna nini!? ktk huu uzi, sioni comments za wale wanaotetea mauaji
  5. LoyalTzCitizen

    Pendekezo: Siku Samia Suluhu akifa, tufute Majina yake kwenye Miradi yote ya Serikali

    Chizi huyo, anajisifia kuwa na kichwa upanga, hajui kuwa wenye Autistic spectrum wote ndio hawana machogo. Mataahira, Maza Faka. Mzanzibari anamcheka mbara ana chogo. Idiot.
  6. LoyalTzCitizen

    Kumbe hata sisi tunaopinga ufisadi na maovu ya CCM tungekuwa tumeshauliwa

    Na wewe nakuuliza, unanijua mimi ni nai!? Na aliyeuwawa unamjua!? Ni kichaa gani kinachokufanya useme tulikuwa tunasema nyokonyoko kwa Samia!?? Narudia si bro wala mimi ambao tupo ktk political movement yoyote iliyosupport maandamano ya ghasia, na kwanza bro alikuwa mginjwa, ametulia tu...
  7. LoyalTzCitizen

    Kumbe hata sisi tunaopinga ufisadi na maovu ya CCM tungekuwa tumeshauliwa

    Chadomo ndio nini, mbona hueleweki!?
  8. LoyalTzCitizen

    Kumbe hata sisi tunaopinga ufisadi na maovu ya CCM tungekuwa tumeshauliwa

    Ndio maana nakwambia kuwa wewe ni mwehu wahed. Soma hapo juu, kaka yangu mimi wamempiga risasi nyumbani, wacha kushabikia usiyoyajua, T.W.A.T, huo ushahidi unaouhitaji ni upi? Wacheni kutuharibia nchi kwa mahaba ya kishetani.
  9. LoyalTzCitizen

    Kumbe hata sisi tunaopinga ufisadi na maovu ya CCM tungekuwa tumeshauliwa

    Wewe ni mpumbavu wahed, unanitia hasira bure kaka yangu ameuwawa, na alikuwa nyumbani halafu leo unaniuliza kuleta ushahidi!? Wacha ufala. Mambo usiyoyajua usishabikie, eti sababu ya uchawa wako. Just shut your hole.
  10. LoyalTzCitizen

    Kumbe hata sisi tunaopinga ufisadi na maovu ya CCM tungekuwa tumeshauliwa

    Hivi wewe kweli ni mtanzania? Huoni kuwa mnaiharibu hii nchi yetu pendwa kwa mihemuko yenu isiyokuwa na tija!? Kweli huna uchungu na hii nchi na watanzania wenzako wanaokosa haki zao, kuuliwa, kufirwa, kutekwa, kunyimwa haki za kudemokrasia, kuumizwa n.k. Just grow up & be serious.
Back
Top Bottom