Recent content by LOWASA2015

  1. L

    GE2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

    Mabadiliko... Lowasa. Lowasa.... Mabadiliko.
  2. L

    Matokeo ya jana uwanja wa taifa ni ishara mbaya kwa CCM

    Mabadiliko... Lowasa. Lowasa ... Mabadiliko.
  3. L

    Mgombea Wa CCM Jimbo la Moshi Mjini afananishwa na Yahaya

    Mosha ametumia mamilioni hadi sasa mabango kila kona sijui kama anafadhahiri watu Wa Moshi na upinzani... Kuna haja yakujifunza kwa vitendo swala hili... Ukifika Moshi mabango karibu yote ni chagua makufuli na Mosha.. Watu Wa Moshi wanajua maana ya mabadiliko ni lowasa na jaffar mwaka huuu...
  4. L

    tarehe 7 Mr. Edo ndani ya jimbo la kibamba

    Tukutane October 25
  5. L

    tarehe 7 Mr. Edo ndani ya jimbo la kibamba

    Lowasa.. Mabadiliko. Mabadiliko... Lowasa.
  6. L

    Familia ya Lowassa yapelelezwa London kwa Utakatishaji fedha

    Lowasa si msafi wasafi ni malaika na watakatifu tu.. Ikiwa hoja ni Richmond vipi kuhusu kagoda mnasemaje kuhusu epa escrow na nyinginezo? Ewe mfarisayo ondoa kwanza vibanzi vilivyo kwenye chama chenu cha ccm kisha ndipo mpate nguvu yakuzungumza ya ukawa... Lowasa mbele kwa mbele....
  7. L

    Nitampigia kura Edward Ngoyai Lowassa!

    Sera ya elimu elimu elimu itasaidia sana watz haswa wale wahafidhina Wa ccm wasioamini mabadiloko....
  8. L

    Nitampigia kura Edward Ngoyai Lowassa!

    Wana Jf... Kwa sasa tayari tumeshakimbia misri kwa farao tupo njiani tunaekeea kanaani... Ni nani wakutushawishi tusitishe agano letu.. Hata kukiwa gharika gani na mawimbi ya aina gani daima lowaasa mbele kwa mbele... Mimi si nyumba yangu tu Bali kila atakayeinua kinywa dhidi ya lowasa...
  9. L

    Mikakati ya kulinda heshima ya mgombea urais wa CHADEMA yaendelea, sasa ni kuhusu muda wa kuzungumza

    Kuwa mbunifu na kuwa tayari kukubali ukweli Lowasa anastahili kuwa rais Wa nchi hii... Hoja ya kipuuzi ya dk 10 si sahihi maana kampeni hazijaanza subiri kampeni zikianza uone moto wake na ukasimulie makada wenzio.....
  10. L

    Lowassa ni kipenzi cha Watanzania

    LOWASA, LOWASA, LOWASA ndivyo ninavyoweza kusema maana nilikuwa naye ccm ametoka na nimefuatana naye mpaka kieleweke.... Ninaamini bado ana kura nyingi sana kwa wana ccm wenyewe ambao bado hawajaingia rasmi njia kuu... Huyo ndiye Tumaini letu na ndilo chaguo letu....
Back
Top Bottom