una point, sema no one knows tomorror, kuna walio oa hawana kitu na mafanikio yakaja baada ya ndoa na kuna ambao walioa wana kila kitu na umasikini ukawafata. Japo ndoa ni baraka , na mbingu hushangilia pale watu wanapooana.
Watu wengi wanafanya kejeri ila mkuu, i am trying to fit in your shoes mwanangu sio poa, Mungu tu anusuru, ila Mpigie huyu mzee, anauza dawa za kisuni naamini ana uwezo wa kukusaidia +255685919190 pia kuna huyu kama physiotherapist 0682549979.
Kuna mshikaji yan story zinaendana kama yako, ili m...
sema kuna swali la msingi watu hawajauliza? je wewe uliji feel vipi? au ndio ilikuwa turn off? anautofauti na wanawake wengine uliowai kuwa nao? kama uliogopa kwanini ulienda kulala naye? au ulikuwa curious kuona vyote hivyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.