Recent content by LOVINTAH GYM

  1. L

    Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

    leo kuna mtu alikuwa anaelezea kuhusu semen retention, embu try it out pia, i think it might be a good start kwako.
  2. L

    Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

    sio aibu tu kwasababu kasababishia huyo mwanaume apelekwe jela na kifo cha mwanaye
  3. L

    Tanga kweli ndiko mapenzi yalikozaliwa, ushuhuda wangu huu hapa

    Mapenzı uchafu ukıanza kuwaza hygiene wajanja watakuzıdı kete
  4. L

    Hatari za kuchelewa kuoa

    una point, sema no one knows tomorror, kuna walio oa hawana kitu na mafanikio yakaja baada ya ndoa na kuna ambao walioa wana kila kitu na umasikini ukawafata. Japo ndoa ni baraka , na mbingu hushangilia pale watu wanapooana.
  5. L

    Hatari za kuchelewa kuoa

    life expectancy ya mtanzania ni miaka mingapi vile?
  6. L

    Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

    Watu wengi wanafanya kejeri ila mkuu, i am trying to fit in your shoes mwanangu sio poa, Mungu tu anusuru, ila Mpigie huyu mzee, anauza dawa za kisuni naamini ana uwezo wa kukusaidia +255685919190 pia kuna huyu kama physiotherapist 0682549979. Kuna mshikaji yan story zinaendana kama yako, ili m...
  7. L

    Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

    wanawake wengi ni waelewa sema hofu yao ni ile ile kuwa ukifanikiwa tu unamuona hafai unaanza chakata ulizokuwa unazi admire
  8. L

    Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

    Upo vizuri mkuu, embu jaribu maombi pia
  9. L

    Sikujua kuwa style yake yakufika kileleni ni kulowanisha godoro

    sema kuna swali la msingi watu hawajauliza? je wewe uliji feel vipi? au ndio ilikuwa turn off? anautofauti na wanawake wengine uliowai kuwa nao? kama uliogopa kwanini ulienda kulala naye? au ulikuwa curious kuona vyote hivyo?
  10. L

    Sikujua kuwa style yake yakufika kileleni ni kulowanisha godoro

    akifika wananyanduana tu hamna maswali
Back
Top Bottom