Recent content by love life live life

  1. love life live life

    Kauli kinzani kati ya Rais na Mwanasheria Mkuu kuhusu waandamanaji

    msikilize na waziri wa mambo ya nje akihojiwa aljazeera
  2. love life live life

    Nilifikiri Mafwele atachukuliwa hatua kuwapumbaza waandamanaji, kumbe Samia wala hajali

    Nilidhani Mafwele atatolewa kafara kama kuwahadaa watanzania na waandamanaji wanaomuona Mafwele kama muuaji hata kwa kumuweka ubalozini au chini ya kapeti. Na madelu licha kuchomewa mabasi yake kuashiria watanzania hawamtaki atarudishwa. Bila kusahau Samia ataendelea kupiga picha na Angela...
  3. love life live life

    Ni lini CDF Mkunda aliwahi kukemea Utekaji? Mwenye clip aiweka hapa Tuone

    Kama unaamini JW hawakuhusika basi pole, wapo waliovishwa nguo za polisi, wengine za kiraia kushirikiana na hao kmkm
  4. love life live life

    Ni lini CDF Mkunda aliwahi kukemea Utekaji? Mwenye clip aiweka hapa Tuone

    Mkunda hana historia ya kuwa na akili, ni chawa kama baba level
  5. love life live life

    Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

    Janabi ni tapeli kama matapeli wengine. Yeye hiyo phd yake inamruhusu kufanya tafti tu sio clinical kufanya upasuaji au kuona wagonjwa hana sifa hizo.
  6. love life live life

    Ujenzi wa daraja la Mkuyuni na Mabatini Mwanza: wananchi wamkataa mzawa, wataka apewe mchina: Somo-tujifunze uchapa kazi, tusibebabe kwa uzawa

    Hao wazawa wamepata tena kwa kukidhi vigezo au ndio connection!? Beside miradi mingi imesimana kwa kukosa pesa meli, sgr nadhani hata hao hawajalipwa mpaka mwezi wa sita aje aombee kura
  7. love life live life

    PreGE2025 Jakaya Kikwete: Rais Samia akichaguliwa tena Taifa litazidi kupata maendeleo makubwa

    kweli maendeleo ya kuongeza deni na kuburuza mkia kidunia kwenye sarafu kupitwa hata na somalia wenye vita
  8. love life live life

    PreGE2025 Jakaya Kikwete: Rais Samia akichaguliwa tena Taifa litazidi kupata maendeleo makubwa

    Yaani anamaanisha akiiba kura au akijipitisha bila kupingwa kama alivyo wafanyia pale dodoma!?
  9. love life live life

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Kama kiongozi mkuu wa seriakali bungeni ambao ni watunga sera anapaswa kuumiza kichwa zaidi namna ya kutatua tatizo la ajira.
  10. love life live life

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Enstain alisema huwezi kutatua tatizo kwa akili ile ile uliyo tumia kulitengeneza, majaliwa ni mfano halisi wa hilo. Waziri mkuu huu ushauri angekuwa anawapa watoto wake ningemuelewa lakini kutoa ushauri kwa nchi nzima kwamba maono ya serikali ya sasa katika kupambana na tatizo la ajira ni...
  11. love life live life

    Prof. Kitila, Dira ya Taifa imeelekezwa Bungeni Ili kuwekewa ulinzi wa Kisheria, hatutaki kila Kiongozi kuja na Dira yake

    Kama wameweza kuibadilisha tren ya umeme kuwa ya disel watashindwa hiyo dira.
Back
Top Bottom