Nilidhani Mafwele atatolewa kafara kama kuwahadaa watanzania na waandamanaji wanaomuona Mafwele kama muuaji hata kwa kumuweka ubalozini au chini ya kapeti.
Na madelu licha kuchomewa mabasi yake kuashiria watanzania hawamtaki atarudishwa.
Bila kusahau Samia ataendelea kupiga picha na Angela...
Hao wazawa wamepata tena kwa kukidhi vigezo au ndio connection!?
Beside miradi mingi imesimana kwa kukosa pesa meli, sgr nadhani hata hao hawajalipwa mpaka mwezi wa sita aje aombee kura
Enstain alisema huwezi kutatua tatizo kwa akili ile ile uliyo tumia kulitengeneza,
majaliwa ni mfano halisi wa hilo.
Waziri mkuu huu ushauri angekuwa anawapa watoto wake ningemuelewa
lakini kutoa ushauri kwa nchi nzima kwamba maono ya serikali ya sasa katika
kupambana na tatizo la ajira ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.