Recent content by lotti83

  1. L

    JamiiForums Tanzania Fao la kujitoa PPF

    mimi nilikamilisha kila kitu...nikapeleka fomu PPF since mwezi wa 10 mwaka jana hadi leo ninazungushwa tu, wanasema kuwa cwez kujitoa bali wanaweza kutransfer hizo hela zangu NSSF ambako nipo sasa kwa mwajiri mpya...Mwajiri wa zamani (TBL) nilikuwa nachangia kupitia PPF. Cjui kama inawezekana...
Back
Top Bottom