wataalamu naomba ushauri wenu,nilifanyiwa kipomo cha OGD kama mara mbili ikaonekana ninashida ya Slide hiatus hernia with Gerd, then nikawa recommend kufanya Barrium Swallow kabla ya operation.
Kilinachonipa maswali ni kuwa 2 OGD hernia inaonekana lakini BARRIUM SWALLOW wanasema hakuna sasa...
Habari za jioni ndugu zangu,
Naomba kwa mwenye ufahamu juu ya upasuaji wa hernia ya kifua anisaidie.
Pia hospital ya uhakika wanayoweza kufanya huo upasuaji
Asidi inakuwa nyingi sana tumboni
1.kiungulia kikali
2.tumbo kujaa gasi
3.maumivu makali ya kifua
4.kukosa hamu ya kula
5.kutapika
Na kujisikia vibaya kwa ujumla
Nashukuru sana kwa ushauri ndugu yangu,
Daktari aliyefanya kipimo alisema stage ya hiyo hernia sio kubwa ni ya kutibu na dawa haihitaji operation.
GERD ndio ipo hatua ya pili japo pia alisema nitumie dawa.
Najiuliza kama nikibadili life styele na kutumia dawa Hali ikatulia bado kutakuwa na...
Habari za jioni ndugu wadau,
Nahitaji msaada na ushauri wenu kuhusiana na tatizo langu kama nilivyoandika. Nimekuwa nikisumbuliwa na dalili kama za vidonda kwa muda mrefu, lakini leo nilipopimwa daktari akanifahamisha kuwa nasumbuliwa na tatizo la sliding hiatal Hernia with GED,
Jambo...
Jaribu kufanya utafiti katika chuo cha Nelson Mandela Arusha,kuna baadhi ya walimu Wa science wamepata ufadhili Wa masomo huko kwa kozi zenu za science
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.