Recent content by lorowi

  1. L

    Natafuta mtu mwenye asili ya Kihindi kumuajiri au kufanya naye biashara

    Ni ushauri tu tengeneza mfumo ambao utaendesha biashara na huo mfumo ufuate internal control hii itakusaidia maana kwa Dunia ya sasa ikisema umtegemee individual itakupa shida kufika malengo ya ndoto yake.
  2. L

    Sales person and Loan officer wanahitajika

    loans Officer mzoefu ummlipe 300k-400k kwel ni unatania Yani hiyo amount ni kwa Junior loans Officer Tena yko probation kwenye industry ya mikopo hicho kiasi ulichokiweka utapigwa ndugu
  3. L

    Job seeker

    Habari ya muda wanajamii,niende Moja kwa Moja kwenye lengo tajwa hapo juu.mimi ninaujuzi kwenye kampuni zinazotoa mikopo midogo na ya kati(Small and medium sized loans).I offer my services in three different angles: 1.Finance and Accounting. All works concerning accounting and Finance i.e...
Back
Top Bottom