MWANAMITINDO wa kimataifa afanyaye shughuli zake nchini Marekani, Flaviana Matata ajenga madarasa mawili ya shule ya msingi iliyopo katika kijiji cha Msinune kilichopo kata ya Kiwangwa Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Flaviana alipewa jukumu la ulezi wa shule hiyo na wanakijiji wa Msinune mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.