Wakuu salaam sana.
Ziko habari za uzushi kuhusu Katibu Mkuu Dk. Slaa, zinaandikwa na kuenezwa na Gazeti la Raia Tanzania kwa siku kadhaa mfululizo sasa.
Uongo huo wa Raia Tanzania leo umeendelea kwa kiwango cha juu zaidi kiasi cha gazeti hilo kuandika kuwa eti Katibu Mkuu Dk. Slaa...
Nimekuwa ni nikifuatilia sana kwa makini mwenendo wa Chama cha wanasheria Tanzania( Tanganyika Law society) nimegundua kuwa ni chama dhaifu sana hapa nchini tofauti na Kenya na Uganda.
Hoja yangu juu ya udhaifu wa chama hiki ni namna suala la mchakato wa Katiba ulivyopita mpaka hatua ya kura ya...
Hahahaha dah! Hatari sana kwaiyo vice chancelor wa Udsm ana control na Udom dah! we jamaa kilaza ni hatari jaman hivi unaweza kudanganya humu jambo kama hilo?.
Nikisoma kwa makini bandiko lako ninapata picha kuwa umesoma Udom bila ubishi.
Nitajie noble proffessional tatu tu hapa dunian kama utakosa sheria acha ujinga. Ndiyo tatizo la kusoma Udom yaan hamfikirii kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.