Recent content by LORD ASHBURTON

  1. L

    Rais Kikwete anavunja Baraza la Mawaziri lini?

    Soma Ibara ya 57 (f) ya Katiba
  2. L

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Dr. Slaa hajawi tumia neno "Mkome"huyo ni Mushumbusi believe me
  3. L

    Huu ndiyo ukweli kuhusu Dr. Slaa

    Wakuu salaam sana. Ziko habari za uzushi kuhusu Katibu Mkuu Dk. Slaa, zinaandikwa na kuenezwa na Gazeti la Raia Tanzania kwa siku kadhaa mfululizo sasa. Uongo huo wa Raia Tanzania leo umeendelea kwa kiwango cha juu zaidi kiasi cha gazeti hilo kuandika kuwa eti Katibu Mkuu Dk. Slaa...
  4. L

    Lowassa amtaka Zitto UKAWA

    Lowasa in da house meeen
  5. L

    Chama cha Wanasheria wa Tanzania(TLS) ni dhaifu sana ukilinganisha Kenya na Uganda

    Nimekuwa ni nikifuatilia sana kwa makini mwenendo wa Chama cha wanasheria Tanzania( Tanganyika Law society) nimegundua kuwa ni chama dhaifu sana hapa nchini tofauti na Kenya na Uganda. Hoja yangu juu ya udhaifu wa chama hiki ni namna suala la mchakato wa Katiba ulivyopita mpaka hatua ya kura ya...
  6. L

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Mnapata wap muda wa kwenda kupiga menu kwa Lowasa hamjapata boom au
  7. L

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Yaani kwa ulicho kiongea tu hapo juu ni mweupe maana huji hata namna gani mtu anakuwa wakili. Udom ni shida
  8. L

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Mkuu "to hell" au to heal? Utakuwa na wewe umesoma udom Mkuu.
  9. L

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Hahahaha dah! Hatari sana kwaiyo vice chancelor wa Udsm ana control na Udom dah! we jamaa kilaza ni hatari jaman hivi unaweza kudanganya humu jambo kama hilo?.
  10. L

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Nikisoma kwa makini bandiko lako ninapata picha kuwa umesoma Udom bila ubishi. Nitajie noble proffessional tatu tu hapa dunian kama utakosa sheria acha ujinga. Ndiyo tatizo la kusoma Udom yaan hamfikirii kabisa
  11. L

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Sasa ndugu yangu kumbe wewe ni mwalimu uliyeosoma udom ni shida sana mkuu. MI wakili nipo mjin mkuu.
  12. L

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    nawasadia watuhumiwa watoke mahabusu mkuu karibu pale life house utanikuta.
  13. L

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Udom chuo chuo cha watu wenye IQ ndogo sana
Back
Top Bottom