Recent content by Lopsided_Truth

  1. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Acha kupangia watu maisha. Unapaniki kama ulishawahi kuzibuliwa chemba. Kama na wewe una hizo tabia anza kutembea na mukwano. Ukitubu wewe inatosha
  2. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Unaandika as if wewe ndio unaedecide amani yangu. Wewe kama una moyo wa kirembo usidhani kila mtu yupo kama wewe. Mie nakusiginia na bado naishi as if nothing happened
  3. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hii ni kweli. Mtu uliyemzoea ukikuta mazingira ya chini ni tofauti na siku zote unajua tu hapa ashaingiwa
  4. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Wapi nimesema saikolojia yangu iko affected? Niko proper kabisa. Ingenitesa kama ingekuwa hakuna kitu kilichowatokea hao walionifanyia ujinga
  5. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona jini live nilipanda naye kwenye bajaji mwenge goba pisi kali muda wote ipo kmy ila miguu yake ilinishtua sana

    Mna uhakika huyo aliyekuwa adjacent nae alikuwa kala? Isije kuwa njaa ilimtengenezea hallucinations
  6. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hatuwezi kuamua mambo kwa mtazamo mmoja mkuu. Kila mtu anahandle situations kwa namna tofauti
  7. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Ukifumwa ndio utaamini hakuna kinachoshindikana chini ya jua
  8. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Maumivu sijaumbiwa mimi. Kila mmoja anatakiwa kuonja ladha alizomuonjesha mwenzake
  9. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Maneno yatakuwa mengi, jamaa kagongewa yupo kama fala.. Mimi huwa nalipa mara kumi ya ubaya. Bidada ashukuru sana. Nilikuwa tayari kupoteza vyote. Ningefanya tukio ambalo taifa lingeshusha bendera nusu mlingoti
  10. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Asingeweza. Ningekuwa jela huenda. Nilikuwa na hesabu za kumchinjia nyuma ya shingo
  11. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Bidada alikimbia tu. Alijua kama mjinga mwenzake kaliwa tope akiwa anashuhudia basi yeye angekutana na balaa zito. Ashukuru sana kukimbia
  12. Lopsided_Truth

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Ule uzi naukubali sana. Hiyo ndio dawa
Back
Top Bottom