Recent content by Lopsided_Truth

  1. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga walitumia tena Jumba la Maajabu pale Major General Isamuhyo. Hii inamaana gani? Au kudharau mamlaka?

    Kwamba hiyo kitu iwe formed na implemented hapohapo?
  2. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kujichua Vs Uzinifu 🤔

    From Cluj Napoca, Romania
  3. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marejesho yanachangia sana uzinifu wa wake za watu na ushirikina kwenye ndoa

    Tafsiri ya Mafanikio uliyonayo wewe sio kila mmoja inakuwa applied kwake.
  4. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marejesho yanachangia sana uzinifu wa wake za watu na ushirikina kwenye ndoa

    Asalaam aleykum wakuu. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano nanyi mnapaswa kuitikia Kazi iendelee.. Kumekuwa na kawaida sana siku hizi wanawake kuingia kwenye mikopo ya kausha damu na kushindwa kufanya marejesho pale tarehe za kurejesha zinapokuwa zimewadia. Sasa hali hii inakuwa inafanya...
  5. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sahihi kabisa. Hatupingi uwezo wa Ronaldo, ila Messi ni habari nyngine
  6. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ni namna tu mnavyotazama mambo. Kwamba timu gani ilideserve kushinda kwa mtazamo wako? Na sababu ni ipi? Bingwa alionekana ana vipengele gani vya kuonekana kabebwa? Team uliowish iwe bingwa, kama ingeshinda game zake zote isingebeba? Kanini haikushinda?
  7. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta bajaji ya 1.5m mpaka 2m isiwe trip garage

    Ipo, ila usiulize maswali mengi, sijui umeitoa wapi..
  8. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sio kweli mkuu, ni mtazamo tu au may be umekuwa manipulated na kile watu wanachosema. Hao ni rivals na wana fan base kubwa kubwa. Naamini ni kupakaziana tu. Huenda hata huyo mwingine angekuwa bingwa bado ungeendelea kusikia kauli hisi toka kwa fans wa upande wa pili
  9. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ya akina Sokomoko
  10. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Portugal 1-1 DR Congo | World Cup 2026 | NRG Stadium (Houston, TX)

    Bingwa Muthatika?
  11. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Portugal 1-1 DR Congo | World Cup 2026 | NRG Stadium (Houston, TX)

    Huyu mchina msimamia madubu sijui wamemfanyaje
  12. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Cristiano Ronaldo CR7 special thread

    Mbona wako hana? Anazidiwa na huyo uliyemtaja
  13. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Cristiano Ronaldo CR7 special thread

    Kinachofuata ni kujinyea tu
Back
Top Bottom