Asalaam aleykum wakuu. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano nanyi mnapaswa kuitikia Kazi iendelee..
Kumekuwa na kawaida sana siku hizi wanawake kuingia kwenye mikopo ya kausha damu na kushindwa kufanya marejesho pale tarehe za kurejesha zinapokuwa zimewadia. Sasa hali hii inakuwa inafanya...
Ni namna tu mnavyotazama mambo. Kwamba timu gani ilideserve kushinda kwa mtazamo wako? Na sababu ni ipi?
Bingwa alionekana ana vipengele gani vya kuonekana kabebwa?
Team uliowish iwe bingwa, kama ingeshinda game zake zote isingebeba? Kanini haikushinda?
Sio kweli mkuu, ni mtazamo tu au may be umekuwa manipulated na kile watu wanachosema. Hao ni rivals na wana fan base kubwa kubwa. Naamini ni kupakaziana tu.
Huenda hata huyo mwingine angekuwa bingwa bado ungeendelea kusikia kauli hisi toka kwa fans wa upande wa pili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.