Recent content by longuo A

  1. L

    Tunawatumiaje wageni kama fursa kwenye biashara ya utalii!?

    Mkuu nimeku DM full details na mwingine yeyote akizitaka nitaziweka hapa
  2. L

    Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

    Mkuu inakuaje ngoja nijipe kamuda nikusikilize na content zako then ntakucheki inbox, mimi ni mtu wa media (Both online na main stream)
  3. L

    KERO Baadhi ya watoa huduma ya afya kuvujisha siri za wagonjwa

    Hii kali boss 😂😂😂 hapo sasa hoja ya unyanyapaa itazungumzwa sana?
  4. L

    KERO Baadhi ya watoa huduma ya afya kuvujisha siri za wagonjwa

    na huu ndio ukweli dokta sio kazi yake kutoa elimu
  5. L

    Unapojihisi mpweke...

    Mkuu mshana nakusalimu sana, kuna jambo moja la kiroho nilihitaji kukushirikisha ila nimekuta umefunga PM, nilishawahi kuliandika humu ila sikupata majibu sahihi ya namna ya kulitatua, unaweza kunisadia nikaku PM na kukushirkisha, natanguliza shukran
  6. L

    Natafuta ajira, nimeambatanisha na CV yangu

    Hali ndio ipo hivyo mkuu na maisha lazima yaendelee ndomana nikaja kuleta CV yangu kwa waungwana jukwaani
  7. L

    Natafuta ajira, nimeambatanisha na CV yangu

    Nature ya hizi kazi skuizi mpaka inanifikia mimi naifanya ujue kuna aliyechukua tenda na akapata percent yake, kuna anayepewa aifanye na yeye anakata percent yake mwishowe inanifikia mimi, inapita zaidi ya mikono mi 3 au mi4 na kila mtu as long as imepita kwenye mikono yake basi anachojali ni...
  8. L

    Natafuta ajira, nimeambatanisha na CV yangu

    Sijazifanya kwa ajili ya mimi kuombea mkopo bali ni kwa wale wateja waliotaka, tulizifanya as team kutokea 2020 mpaka mwaka jana
  9. L

    Natafuta ajira, nimeambatanisha na CV yangu

    Nashukuru sana Boss kwa andiko lako, ngoja nirekebishe kidogo niongeze vitu halafu nitakutumia PM
  10. L

    Natafuta ajira, nimeambatanisha na CV yangu

    sawa Mkuu😀😃😀😃
  11. L

    Natafuta ajira, nimeambatanisha na CV yangu

    nimesoma SAUT Mwanza, St. Augustine University of Tanzania, pale juu niliandika "........................ university of Tanzania"
Back
Top Bottom