Recent content by Long trip

  1. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke ninaetaka kumuoa nimebaini hajatulia

    Hujaelewa mada wewe😂😂, unaambiwa mtu hajatulia. Elegant neno KUTULIA.
  2. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lipi ni bora, kuwa muhuni yani nitoke nje ya ndoa au kuachana na huyu mwanamke?

    piga chini mkuu, utaanza kulea watoto wa wanaume wenzio na utaletewa ukimwi kama nyongeza.
  3. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lipi ni bora, kuwa muhuni yani nitoke nje ya ndoa au kuachana na huyu mwanamke?

    Duuh huyo ni KAHABA 100%
  4. Long trip

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 niliyoyaona leo Simba vs Al Ahly Tripoli

    Simba safu ya ushambuliaji haina kitu, yaani namba 9 ndo tunae. Lakn 7,10 na 11. Wapelekwe KenGold kwa mkopo.
  5. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tajiri nimeamka, masikini bado mmelala

  6. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tajiri nimeamka, masikini bado mmelala

    Tajiri gani Mipasho kilasiku, kama Isha Mashauzi.
  7. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, kumuacha mtu umpendaye ni rahisi?

    Itafika moment utaanza kujiuliza hivi huyu nlimpendea nini? Trust me bro!.
  8. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, kumuacha mtu umpendaye ni rahisi?

    Pole sana mkuu, mwaka jana nlipitia situation kama yako. Yaan nlimpenda dem had wanawake wengine nikawa nawaona kama wanaume wenzangu tu, no feelings. Akaja kunipiga chini bhana, nikawa nkilala naweweseka namuota🤣🤣. Ilinichukua almost mwezi mzima kuanza kupona, nlianza kujikeep bize kuliko...
  9. Long trip

    JamiiForums Tanzania Kwa kinachoendelea Simba imekuwa timu ya Ovyo ovyo, kocha wa ovyo, hadi washabiki na uongozi wa ovyo ovyo. Hatujui kabisa

    Hatujaona Simba wakicheza msinu huu, mtu kishaanza kulalamika. Kama sio uchawi ni nini? Tuta criticise tukiiona timu na ubora wake.
  10. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waache waende kutafuta wa zaidi yako ila usikubali warudi tena kwako endapo watamkosa

    Hii ilinitokea soon baada ya kumaliza chuo akaenda kwa LECTURER mi nikaachwa, katumiwa huko baada ya kuwa dumped anarudi ku-apologize. Na amenikuta siishi kinyonge kama before. NEVER BACK OFF.
  11. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

    Hata kwenye sex yupo kimya tu mkuu. Huwezi amini!!
  12. Long trip

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupendwa raha sana

    Daah nmecheka balaa🤣
  13. Long trip

    JamiiForums Tanzania Barcelona tunakwama wapi?!

    Sema tutaanza kuwaka mda si mrefu, yajayo yanafurahisha. Lakn ndohvo ni project ya mda mrefu sio sasa.
  14. Long trip

    JamiiForums Tanzania Barcelona tunakwama wapi?!

    Yaan Barcelona saiz tunapata mchezaji mzuri kwa mapenzi yake sio pesa tena. The same na kwa Gundogan, Joan felix na Lewandosk
Back
Top Bottom